sindesunde
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 358
- 346
Huyu mzee hivi chama chake kina ata diwani kweli!
Nyuki wa mashineni au siyo?!!.Teh teh teh! Huyu hanaga madhara dhidi ya CCM
Ccm wasipoangalia Mzee anaweza kubeb kura kibao.Next prezidaa by dream