sindesunde
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 358
- 346
Inasikitisha maisha ya Kawe yakawa ya uswazi sana eti Kawe inakua na mnada kila Jumamosi kama huku mkoani hebu niambieni Kawe si ndio karibu na Mbezi beach! mnatia auibu watu wa huo mkoa bora muhamie huku kwetu siku ya mnada tunapiga nyama choma nk.
Dar kweli watu wa Kawe njooni hapa mnanichanganya sana
Dar kweli watu wa Kawe njooni hapa mnanichanganya sana