sindesunde
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 358
- 346
Habari zenu Wahenga wenzangu, nataka tujikumbushe kipindi cha nyuma kidogo kwa yale machache tunayo kumbuka ila mtanisamehe kwa uwandishi wangu usio mzuri! Napenda tukumbushane ktk mambo mbalimbali ikiwa usafiri maeneno vituko vya zama hizo.
Naanzaia mkoa wa nikikumbuka miaka 1980+ upende wa usafiri haswa daladala ilikuwa vituko tupu maana unakuta daladala inaanzia k/koo au posta inaishia magomeni mapipa sio kama amekatisha ruti hapana ndio ruti yake hiyo!
Nyingine zilikuwa zinaishia manzese msufini nyingine ubungo maji kulikuwa hakuna daladala ya kimara mbezi kutokea town hapo bila kusahau ruti ya manzese to mabibo mwisho. manzese to sinza kwa remi. ubungo to buguruni. ubungo to mwenge via chuo kikuu kulikuwa hakuna ya moja kwa moja. Mwenge to kawe. magoni to dri cinema.kariakoo mikocheni b.karikoo to uwanja ndege au mombasa.
Sasa masi yalikuwa zama hizo nawakumbusha baazi yao DAU LA MNYONGE lilikua leyland cd ubungo/posta.WAGOSI WAKAYA isuzu pua la ng,ombe ubungo/posta. CONCOD benzi buguni/ubungo.ADVANTURE leyland temeke posta. kumbuka kipindi hicho karikoo kulkua hakupatikani basi za kwenda mbagala iliwaidi wakazi wa huko wapande mbasi mpaka temeke ndio wapande ya mbagala tena yapo yalikua yanaishia kizuiani na rangi 3.wakazi wa tegeta na viunga vyake watakua wanaikumbuka SOZA COM isuzu mwenge/tegeta ikifika saa 1 usiku usafiri uliku hakuna wa kurudi mwenge lami mwisho lugalo.
Bagamoyo chuma kilikuwa kinakimbia sana kilikua kinaitwa cassanova ktk pepe huku nyuma waliandika nausifu mtwangio hii chombo ilikua TATA nyingine nayo ilikua moto chini AMIT leyland cd hii ilikua wakati inapanda pale kerege ilikua mpaka raha maana ilikua inalalamika kama nyuki ila madeva wa zamani walijua kuchea gia sana maana huyu wa AMIT alikua anatisha kwa kuchezea gia maana mpaka abiria wanapandwa na mzuka!iHiyo ndio kipindi watu wa kusini wakikumbuka wanaweza kulia sana kutokana na ubovu wa barabara na ambayo ilikua unaweza toka dar unakwenda lindi ukamaliza ata wiki 3 njiani mto rufiji ulikua tatizo ukiondoa ukorofi wa barabara kuanzia ikwirir mpaka lindi.
Miaka hiyo kulikuwa na chuma kinaishia ikwilili SIMBA WANYIKA leyland flani hivi ndogo.BABA NI BABA boss wake alikua anaitwa jamar.bila ya kuwatupa ndugu zetu wa muhoro walikua na basi lao pendwa la mwana mama mmoja kibonge alikua anaishi mitaa ya clubu ya yanga hapon alikua anaitwa fatu shaha huyu mamaa alikua mbabe sana na alikua anasimamia mwenyewe masi yake ya MKARAMO BUS.
Sasa tunarudi kwa ndugu zetu wa kusini walikua na basi linaitwa BORN COAST hii ilikua mkonde aonekane mjanja na ametoka town lazima apande hii ndinga ilikua leyland victori lkn pamoja na ujanja wo wote mto ruiji uliwamaliza sana ndugu zetu wapo alio poteza maisha kwa kuzama na kivuko kile ch zamani na wapo walipoteza mali kwa kusombwa na maji ila kuna jambo moja tamu sana pale rufiji walikua wanafanya biashara sana kivuko kinapozingua.
Na wanaume wa kusini walikua na pesa walikua wanawazalisha sana wadada wa pale rufiji kwakua ulikua unaweza kua pale zaidi ya wiiki unasubili kuvuka na wa dada wa kusini walipa ujauzito sana pale maana anaweza kukwama akiwa hana akibwa basi masela wa kirufiji wanaruka nao tu wazee wanakuambia mechi ilitoka 0-0 baada ya daraja kuisha vizazi vilichanganyikana!Balaa unaweza kuvuka rufiji ila kwenda huko kusini ilikua unaweza ukaenda ata na mguu ukaunga baiskeli na treka wenyewe walikua wanayaita tele utasikia nimepanda tela au ukutane na chuma cha mgerumani ndio alikua mbabe wahuko zamani benzi double diff au bedford tk wenyewe utasikia nimepanda ngongongo kwa sababu lori likirusha wao wakawa wanaita hvvyo.
Ila kwa wale walikua wenye uwezo ndege ziliku za kutosha meli kama MV-CANADIAN MV-MAPINDUZI hii meli ya mapinduzi nakumbuka tulikua tunatoka mtwara miaka hiyo ilipoteza mwelekeo mpaka tukaja kusaidia na vikosi vya ulinzi vya comoro maisha haya!ktk miko ambayo ilikua uhakika wa safar mbeya na iringa maana nakumbuka ilikua tukifika pale mnazi mmoja ktk mataa kama ktk kampuni ya KWACHA BUS hii ndinga tambua ilikua ndio kama leo unyoona SAUL bila kusahau masi ya kitambo na wakozi wa nyanda za juu kusini KAMATA.
Tanga walikua na uhakika wa safari basi zao kali zilikua TAHAFIF.KIZOTA.BEMBEA.RAHALEO.morogoro kama mtakumbuka DAR EXPRESS zilikua fiat 110 SCORASTIKA sikania 82 ilikua hatari sana hii bus.ABOOD leyland cd.Narudi home kaskazini MAPANDE leyland daf hii basi sijui lifungwa nini maana saa 5 kasoro unakuta inachungulia uchira ikitokea dar hapo nyuma unamkuta SHABAHA scania na picha ya saadm husein.
NGORIKA hebu kumbuka ata miaka ya 1990 to 2000 mwanzoni KISWELE TAWAQAL SAIBABA SAFINA.
Ebu njoo tutililike wazee
Naanzaia mkoa wa nikikumbuka miaka 1980+ upende wa usafiri haswa daladala ilikuwa vituko tupu maana unakuta daladala inaanzia k/koo au posta inaishia magomeni mapipa sio kama amekatisha ruti hapana ndio ruti yake hiyo!
Nyingine zilikuwa zinaishia manzese msufini nyingine ubungo maji kulikuwa hakuna daladala ya kimara mbezi kutokea town hapo bila kusahau ruti ya manzese to mabibo mwisho. manzese to sinza kwa remi. ubungo to buguruni. ubungo to mwenge via chuo kikuu kulikuwa hakuna ya moja kwa moja. Mwenge to kawe. magoni to dri cinema.kariakoo mikocheni b.karikoo to uwanja ndege au mombasa.
Sasa masi yalikuwa zama hizo nawakumbusha baazi yao DAU LA MNYONGE lilikua leyland cd ubungo/posta.WAGOSI WAKAYA isuzu pua la ng,ombe ubungo/posta. CONCOD benzi buguni/ubungo.ADVANTURE leyland temeke posta. kumbuka kipindi hicho karikoo kulkua hakupatikani basi za kwenda mbagala iliwaidi wakazi wa huko wapande mbasi mpaka temeke ndio wapande ya mbagala tena yapo yalikua yanaishia kizuiani na rangi 3.wakazi wa tegeta na viunga vyake watakua wanaikumbuka SOZA COM isuzu mwenge/tegeta ikifika saa 1 usiku usafiri uliku hakuna wa kurudi mwenge lami mwisho lugalo.
Bagamoyo chuma kilikuwa kinakimbia sana kilikua kinaitwa cassanova ktk pepe huku nyuma waliandika nausifu mtwangio hii chombo ilikua TATA nyingine nayo ilikua moto chini AMIT leyland cd hii ilikua wakati inapanda pale kerege ilikua mpaka raha maana ilikua inalalamika kama nyuki ila madeva wa zamani walijua kuchea gia sana maana huyu wa AMIT alikua anatisha kwa kuchezea gia maana mpaka abiria wanapandwa na mzuka!iHiyo ndio kipindi watu wa kusini wakikumbuka wanaweza kulia sana kutokana na ubovu wa barabara na ambayo ilikua unaweza toka dar unakwenda lindi ukamaliza ata wiki 3 njiani mto rufiji ulikua tatizo ukiondoa ukorofi wa barabara kuanzia ikwirir mpaka lindi.
Miaka hiyo kulikuwa na chuma kinaishia ikwilili SIMBA WANYIKA leyland flani hivi ndogo.BABA NI BABA boss wake alikua anaitwa jamar.bila ya kuwatupa ndugu zetu wa muhoro walikua na basi lao pendwa la mwana mama mmoja kibonge alikua anaishi mitaa ya clubu ya yanga hapon alikua anaitwa fatu shaha huyu mamaa alikua mbabe sana na alikua anasimamia mwenyewe masi yake ya MKARAMO BUS.
Sasa tunarudi kwa ndugu zetu wa kusini walikua na basi linaitwa BORN COAST hii ilikua mkonde aonekane mjanja na ametoka town lazima apande hii ndinga ilikua leyland victori lkn pamoja na ujanja wo wote mto ruiji uliwamaliza sana ndugu zetu wapo alio poteza maisha kwa kuzama na kivuko kile ch zamani na wapo walipoteza mali kwa kusombwa na maji ila kuna jambo moja tamu sana pale rufiji walikua wanafanya biashara sana kivuko kinapozingua.
Na wanaume wa kusini walikua na pesa walikua wanawazalisha sana wadada wa pale rufiji kwakua ulikua unaweza kua pale zaidi ya wiiki unasubili kuvuka na wa dada wa kusini walipa ujauzito sana pale maana anaweza kukwama akiwa hana akibwa basi masela wa kirufiji wanaruka nao tu wazee wanakuambia mechi ilitoka 0-0 baada ya daraja kuisha vizazi vilichanganyikana!Balaa unaweza kuvuka rufiji ila kwenda huko kusini ilikua unaweza ukaenda ata na mguu ukaunga baiskeli na treka wenyewe walikua wanayaita tele utasikia nimepanda tela au ukutane na chuma cha mgerumani ndio alikua mbabe wahuko zamani benzi double diff au bedford tk wenyewe utasikia nimepanda ngongongo kwa sababu lori likirusha wao wakawa wanaita hvvyo.
Ila kwa wale walikua wenye uwezo ndege ziliku za kutosha meli kama MV-CANADIAN MV-MAPINDUZI hii meli ya mapinduzi nakumbuka tulikua tunatoka mtwara miaka hiyo ilipoteza mwelekeo mpaka tukaja kusaidia na vikosi vya ulinzi vya comoro maisha haya!ktk miko ambayo ilikua uhakika wa safar mbeya na iringa maana nakumbuka ilikua tukifika pale mnazi mmoja ktk mataa kama ktk kampuni ya KWACHA BUS hii ndinga tambua ilikua ndio kama leo unyoona SAUL bila kusahau masi ya kitambo na wakozi wa nyanda za juu kusini KAMATA.
Tanga walikua na uhakika wa safari basi zao kali zilikua TAHAFIF.KIZOTA.BEMBEA.RAHALEO.morogoro kama mtakumbuka DAR EXPRESS zilikua fiat 110 SCORASTIKA sikania 82 ilikua hatari sana hii bus.ABOOD leyland cd.Narudi home kaskazini MAPANDE leyland daf hii basi sijui lifungwa nini maana saa 5 kasoro unakuta inachungulia uchira ikitokea dar hapo nyuma unamkuta SHABAHA scania na picha ya saadm husein.
NGORIKA hebu kumbuka ata miaka ya 1990 to 2000 mwanzoni KISWELE TAWAQAL SAIBABA SAFINA.
Ebu njoo tutililike wazee