Salaam
wa mwezi sasa kimetokea kidonda kwenye njia ya uume pale uwazi, kidonda hiki hakiumi nilienda fanya urine culture na UTI hawajaona tatizo pamoja na blood culture hawanaona tatizo niliambiwa damu safi kabisa na mkojo hakuna mdudu aliyeota.
Samahani kwa pocha kama itawasumbua. Naombeni...
Mac book pro 2012 . Core i 5, 256 ssd, 8gb ram, 13inch 2.3 ghz , inwtumika mwaka mmoja.
bei 850k negotiatable ukihitaji 500gb hdd badala ya 256 ssd nakuwekea bila wasi wasi.
Bei maelewano karibun sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza hongereni TPA na sekretariet ya ajira kwa mchakato mzima ambao hakuna hata chembe wala harufu ya rushwa na upendeleo, Jana tulifanya oral na kuambiwa tutapewa feedback hakuna hata mwenzangu mmoja ninayefahamiana naye tuliekuwa oral kama upo humu nicheki tuwasiliane pindi tukipigiwa simu.
Habari wakuu kwa waliowahi fanya usaili sekretariet ya ajira ni aina gani usaili inakuwa ni zile aptitude test au ni maswali ya darasani kwa profesheni yako
Ahsante sana nitakieni kila la kheri mtaani kwa moto balaa.
Heshima kwenu wakuu,
Mimi ni kijana wa kiume miaka 25 nimemaliza chuo mwaka jana IT level ya degree. Kutokana na ugumu wa soko la ajira sijafanikiwa kupata mahali pa kujishikiza.
Kwa yoyote mwenye nafasi ya kunisaidia naomba anisaidie nafasi ambayo naweza kutumia kujijenga na kuimarisha uwezo...
Heshima kwenu wakuu,
Mimi ni kijana wa kiume miaka 25 nimemaliza chuo mwaka jana I.T level ya degree kutokana na ugumu wa soko la ajira sijafanikiwa kuapata mahali pa kujishikiza.
hivyo kwa yoyote mwenye nafasi ya kunisaidia naomba anisaidia nafasi ambayonaweza kutumia kujijenga na kuimarisha...
Habari wakuu, nilisoma degree yangu ya kwanza kozi ya I.T kutokana na ugumu wa ajira nimefikiria kusoma postgraduate open university kwenye kada ya ualimu chuo kikuu huria, je huku nako ajira ni za moja kwa moja kwa style ninayotaka kutumia kwani sihitaji kukaa tena chuoni nataka niwe mtaani...
Rejea mada hapo juu, naomba kuwasilisha ombi la internship kwenye makampuni au ofisi inayohusi nafasi ya I.T kwa taarifa hapo chini.
Sex: Male
Age: Adult
Education: bachelor degree.
Skills
- Web development .
- Programming (languages: Java, C++, ).
- Internet programming (language...
Heshima kwenu wote,
Mimi ni kijana wa kiume nimemaliza degree yangu ya kwanza chuo kikuu cha dodoma Bsc. software engineering Kwa heshima na taadhima napenda kuomba nafasi ya internship kwenye kampuni yoyote ya I.T nifanye kazi kwa kujitolea na kupata ujuzi huku nikishughulikia masuala mengine...
Heshima kwenu wote,
Mimi ni kijana wa kiume nimemaliza degree yangu ya kwanza chuo kikuu cha dodoma Bsc. software engineering Kwa heshima na taadhima napenda kuomba nafasi ya internship kwenye kampuni yoyote ya I.T nifanye kazi kwa kujitolea na kupata ujuzi huku nikishughulikia masuala mengine...
Habarini wadau ninauza blog yangu ina matangazo ya google adsense na dollar 6 kutokana na majukumu kuwa mengi nimekuwa nashindwa kufanya update kwa aliye tayari ani pm nimpe link kazi yako itakuwa ni kupost tu nakupa ownership ya account.
au nicheki kwa namba: 0652861968
bei ni ndogo sana.
Habari zenu wadau,
Kutokana na uhaba wa ajira TZ sio siri kujiajiri ndio suala la ulazima kwa sasa basi nimeamua kujishughulisha na masuala ya blog kwani nazan muda mwingi nautumia mtandao hivyo hii shughuli itanifaa naomba kwa wanaojua biashara hii kwa maeneo yetu tulipo inafanyikaje mpaka...
Habar zenu wadau,
Kutokana na uhaba wa ajira TZ sio siri kujiajiri ndio suala la ulazima kwa sasa basi nimeamua kujishughulisha na masuala ya blog kwani nazani muda mwingi nautumia mtandao hivyo hii shughuli itanifaa
Naomba kwa wanaojua biashara hii kwa maeneo yetu tulipo inafanyikaje mpaka...
msaada kwa swali hapo chini.
Write Java class(es) which accept ten (10) integer values ranging between zero (0) and a
hundred (100), calculates the average mark, assigns an appropriate grade to the average mark
and outputs the average mark with the corresponding grade (use the university...
habari wadau, ninaomba kufahamu bei ya ya mashine ya kusafishia picha kwa anefahamu kuna mtu anahitaji sana ushauri ili akamilishe studio yake ukinileza na namna ya kupata nitashukuru.
kuna mdada nampenda sana tupo naye chuo kimoja japo college tofauti juzi nilimtumia meseji ya kutakata awe gf wangu leo amenijibu kama ifuatavyo.
"samahani kwa kuchelewa kukujibu nahitaji mume kwa sasa na si bf na awe wa imani sawa na mimi " yeye ni msabato ninashindwa niendeleaje dini zetu ni...
Habari wadau natafuta griver za mashine hiyo hapo juu nahitaji kuitumia kama printer kutoka kwenye pc lakini nikidownload driver zake zinakuja kama .zip zina shindwa ku execute mwenye link ambayo naweza pata hiyo software anisaidie.
Thanks in advance.
Habar gan wana jf? Nina gf wangu ambaye npo naye foq 1yr na kuhsu mapenzi anadai mpaka amalze ckul koz akianza watamgundua zaid ya hapo anadai wanapopelekwa kupima manesi huwa wanamsifia kwa kujitunza so akianza watamgundua jamani hii ni kwel au anapoteza muda wangu.
Naomba ushauri wenu.
Habari wana jf ninatatizwa na kiwango cha fedha kilichotolewa na bodi kuna watu hyo fedha inazidi gharama ya koz kwa miaka yote mitatu e.g jamaa yangu kapewa 3,147,500 na gharama ya koz/mwaka (LL.B) ni 950,000 je hv viwango wamejumulisha na mahtaji mengne kama meal allowance etc.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.