Mkuu ingia google,zipo nyingi tuu!just type QSS utapata brand tofauti tofauti,bei inaanzia USD 10,000 na kuendelea!ukifikisha hapa bongo unalipia tena ushuru like 5m hv!min.usiwe na chn ya 25m.studio inakua imekamilika.
habari wadau, ninaomba kufahamu bei ya ya mashine ya kusafishia picha kwa anefahamu kuna mtu anahitaji sana ushauri ili akamilishe studio yake ukinileza na namna ya kupata nitashukuru.