Tupeane uzoefu mchujo wa sekretariet ya ajira.

Tupeane uzoefu mchujo wa sekretariet ya ajira.

Estyzo

Senior Member
Joined
Jul 24, 2011
Posts
158
Reaction score
39
Habari wakuu kwa waliowahi fanya usaili sekretariet ya ajira ni aina gani usaili inakuwa ni zile aptitude test au ni maswali ya darasani kwa profesheni yako
Ahsante sana nitakieni kila la kheri mtaani kwa moto balaa.
 
Maswali yao yana-focus field yako/kazi husika, mambo ya shule na yanayohisiana na kazi unayofanyiwa mahojiano!
 
mkuu hata mchujowanauliza ya class?
Yeah Kama Ni interview ya Uhasibu Hawaeleweki wanaweza Kuleta Maswali ya Financial management, Auditing, Management Accounting au Corporate Finance!
 
nimeitwa ict ndio ni
Yeah Kama Ni interview ya Uhasibu Hawaeleweki wanaweza Kuleta Maswali ya Financial management, Auditing, Management Accounting au Corporate Finance!
litaka jua
 
nimeitwa ict ndio ni

litaka jua
Soma Na Research najua vyuo Vingine Huwa Vinazembea sana Research watu wanafanya kama Assignment katika Group Research ni Maswali Pendwa ya Secretariat
 
Habari wakuu kwa waliowahi fanya usaili sekretariet ya ajira ni aina gani usaili inakuwa ni zile aptitude test au ni maswali ya darasani kwa profesheni yako
Ahsante sana nitakieni kila la kheri mtaani kwa moto balaa.
Iterview kama nielewavyo huwa haina fomula.
 
Jitahidi sana kupitia mambo ya darasani kwa fani yako hasa kwenye written interview, ongezea na research.
 
Back
Top Bottom