Natafuta internship ya IT Dar es Salaam

Estyzo

Senior Member
Jul 24, 2011
158
39
Heshima kwenu wakuu,

Mimi ni kijana wa kiume miaka 25 nimemaliza chuo mwaka jana IT level ya degree. Kutokana na ugumu wa soko la ajira sijafanikiwa kupata mahali pa kujishikiza.

Kwa yoyote mwenye nafasi ya kunisaidia naomba anisaidie nafasi ambayo naweza kutumia kujijenga na kuimarisha uwezo wangu katika career hii ya IT. Nimechagua Dar es Salaam ili nisiingie gharama nyingi nitakapokuwa nafanya internship.

Ahsante sana natanguliza shukrani.
 
Heshima kwenu wakuu,
Mimi ni kijana wa kiume miaka 25 nimemaliza chuo mwaka jana I.T level ya degree kutokana na ugumu wa soko la ajira sijafanikiwa kuapata mahali pa kujishikiza.
hivyo kwa yoyote mwenye nafasi ya kunisaidia naomba anisaidia nafasi ambayonaweza kutumia kujijenga na kuimarisha uwezo wangu katika career hii ya I.T, nimechagua dar es salaam ili nisiingie gharama nyingi nitakapokuwa nafanya internship.
Ahsante sana natanguliza shukrani.

Kama unamaanisha Information Technology, basi rekebisha siyo I.T ni IT. Jaribu kutembelea Makampuni ya simu Au Mashirika NGOs Mkuu ,unaweza kupata
 
naomba maelezo zaidi mkuu nifanyaje.
Andaa CV yako, motivation letter, kama wengine wanavyoiita, ukiweza kupata recommendation letter kutoka chuo ulichomalaiza inaongeza uzito. Zungukia mashirika na makampuni unayoona unaweza kujifunza kitu, Ukiweza onana na HR usijekuacha CV yako reception, mara nyingi huwa haziwafikii wahusika kwa muda. Jitahidi kila unapotembelea mashirika au makampuni kupeleka CV yako uonane na HR manager. Ongea mueleze shida yako. Hata akikwambia kwa sasa hakuna nafasi omba umwachie CV in case ikitokea. Ukiweza omba na contacts zake. Pia Jaribu shirika moja linaitwa CARE International ofisi zao ziko pale kinondoni Karibu na Ubalozi wa France.
 
Andaa CV yako, motivation letter, kama wengine wanavyoiita, ukiweza kupata recommendation letter kutoka chuo ulichomalaiza inaongeza uzito. Zungukia mashirika na makampuni unayoona unaweza kujifunza kitu, Ukiweza onana na HR usijekuacha CV yako reception, mara nyingi huwa haziwafikii wahusika kwa muda. Jitahidi kila unapotembelea mashirika au makampuni kupeleka CV yako uonane na HR manager. Ongea mueleze shida yako. Hata akikwambia kwa sasa hakuna nafasi omba umwachie CV in case ikitokea. Ukiweza omba na contacts zake. Pia Jaribu shirika moja linaitwa CARE International ofisi zao ziko pale kinondoni Karibu na Ubalozi wa France.
nashukuru kwa mwongozo mkuu
 
Back
Top Bottom