Kumekuwa na Utata wa Muda Mrefu Kuhusu Kama Wachagga Wanaongea Lugha Moja Au Ni Lugha Mbalimbali Tofauti, Jambo Ambalo Limeleta Utata Mwingine wa Kwamba Kama, Je Wachagga Ni Jamii Moja Au Ni Jamii Mbalimbali Zilizojikuta Zinaishi Kwenye Mlima Kilimanjaro na Kuamua Kujiita Kwa Pamoja Wachagga?
–...
Raisi wa mpito wa Guinea aliyetwaa madaraka baada ya kufanya mapinduzi nchini Guinea, ameanza kutoa masomo ya kizalendo kwa taifa hilo, Afrika na duniani kote.
Siku ya Ijumaa, Kanali Doumbouya na walinzi wake waliandaliwa siti za mbele katika msikiti wa Boulbineti huko mjini Conakry nchini...
Jaribio la wanasayansi kubaini dawa ya homa ya Uviko-19 linaelekea kuzaa matunda baada ya kuwapo kwa taarifa za matumaini makubwa vidonge vya ‘Molnupiravir’ kufanya kazi kwa ufanisi kutibu ugonjwa huo.
Dawa hiyo iliyofanyiwa majaribio na kampuni ya kimataifa ya kutengeneza dawa ya Merck iliyopo...
[emoji404]Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema kuwa serikali imempatia uraia wa Tanzania mshambuliaji wa klabu ya Simba SC, Kibu Denis kwa mujibu wa Sheria ya Uraia, Sura ya 357 (Rejeo la 2002), baada ya kupokea ombi kutoka TFF kupitia Wizara ya Sanaa, Utamaduni na...
Men, unaweza kumwambia mwanaume mwenzio "I Love You"?
Embu chukua simu yako nenda kwenye sehemu ya kuandika ujumbe mfupi mwandikie rafiki yako wa Kiume,
Anza na salamu, umwambie you Love him then utume screenshot hapa alivyokujibu!![emoji1]
Kwa hizi takwimu TFF Watueleze inamaanisha uwezo wa uwanja wa Mkapa ni mkubwa kuliko Estadio Camp Nou F.C. Barcelona ambayo inabeba mashabiki 99,354 au Rungrado May Day Stadium wa huko Korea ya kaskazini wenye uwezo wa kubeba mashabiki 150,000 au uwanja wa Wembley wa nchini Uingereza ambao...
wakili Nashon: kati yako na Kingai nani alikuwa na nafasi nzuri ya kuwaona watuhumiwa?
shahidi: wote
wakili Nashon: kwa hiyo ni sahihi nikisema kuwa alichokiona kingai ndicho ulichokiona wewe?
shahidi: kama nilivyosema mimi nilitokea kwa mbele..
WAKILI Nashon: ieleze mahakama kuwa kati ya...
Inavunja moyo na kuumiza kusikia na kuona Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Marekani (Evangelical Lutheran Church of America) limemsimika rasmi Askofu wa kwanza anayejihusisha hadharani na mapenzi ya jinsia moja (shoga). Si mwingine ni Askofu Megan Rohrer.
Askofu huyu anayejihusisha na mapenzi ya...
Mwaka 1990 Wakati Mandela Officially Anatolewa Gerezani Vijana Walio ANC wakati huo na wale wengine wasiokua ndani ya chama nyoyo zilikua zimewaka moto morale ilikua juu sana .
Katika speech yake ya kwanza akiwa huru wengi wa vijana hao walienda na mapanga na marungu kumsikiliza kiongozi wao...
Kuna dalili Kuwa Yanga ikaenda kupasuka pasuka , hii n baada ya Video iliyorekodiwa na Nugazi na mashabiki wa Yanga. Video hyo inasikika sauti ikidai kuwa Msukule wa Simba wamemchukua ( Ifahamike kuwa hakuna biashara ya mchezaji au kocha yeyote aliyetoka simba kwenda Yanga) mtu pekee aliyeenda...
Ni Ngumu kusema tusimlaumu mama Samia Hasan Suluhu ila ndio hivyo hatuna namna lazima iwe hvyo , Huu ndio ukwel Mchungu
Wa Kumlaumu n Mtangulizi wake Marehem JPM kwani inawezekana Hazina hakukuwa na kitu , kama Mnakumbuka mwanzoni baada ya kifo cha Jpm ilisemekana nyumban kwa Bashiru na Dotto...
Leo asubuhi nikiwa najiandaa kuelekea katika shughuli zangu za kila siku nikiwa nimefungua Radio free kusikiliza yaliyojiri magazetini ,kabla ya kipindi kuanza palipita tangazo , tangazo hilo ni mwanafunzi alikuwa Analia kwa sababu amepatiwa mimba na hawezi kwenda tena shulen kwasababu ya...
Taasisi ya kimataifa ya kutetea haki za wanawake, Equality Now ikishirikiana na washirika wake nchini Tanzania, wamewasilisha kesi dhidi ya serikali ya Tanzania katika mahakama moja ya Afrika inayoshughulikia masuala ya kibinadamu na haki baada ya nchi hiyo kuweka marufuku kwa wasichana...
Habari ndugu zangu wana JF?
Natumai humu wote n wazima naombeni niwasilishe humu japo kwa ufupi sana.
Sikio lilikuwa linamuuma sana nileambiwa sitoweza kupatiwa matibabu maana daktari bingwa wa magonjwa ya masikio hayupo na badala yake atafika siku ya Jumamosi, niliona isiwe shida baadae...
Wadau leo nimekutana na changamoto moja kali ambayo mpaka sasa nimeahindwa kuitolea ufumbuzi ...iko hivi kuna rafiki yangu anafanya kazi kwenye NGO moja hiv ..
Kiuchumi anajiweza sana tena si kidogo ,ila mwezi uliopita wakiwa mapumziko ya weekend aliamua kumtoa out baba yake maana baba yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.