LENGISHO
Senior Member
- Sep 15, 2017
- 169
- 265
Wadau leo nimekutana na changamoto moja kali ambayo mpaka sasa nimeahindwa kuitolea ufumbuzi ...iko hivi kuna rafiki yangu anafanya kazi kwenye NGO moja hiv ..
Kiuchumi anajiweza sana tena si kidogo ,ila mwezi uliopita wakiwa mapumziko ya weekend aliamua kumtoa out baba yake maana baba yake alikuwa amemwomba sana watoke nae angalau siku moja wazungumze mawil matatu nae ...
Baba aliamua kumweleza hali halisi kabla hajazaliwa.. kutokana na hali ngumu ya maisha waliyokuwa nayo wazazi wake mama yake alibahatika kupata mtoto wa kwanz wa kume( kaka yake huyu jamaa) akiwa na umri wa mwaka na nusu alibeb mimba nyingne isiyotarajiwa hivyo ukilinganisha na hali ya uchumi lile swala lilimuumiza sana baba yake baadae waliamua kushauriana na mama yake wakaitoe hiyo mimba ..
Ila mama yake alikuwa mwoga sana alihofia maish yake maana kwenye abortions lolote linaweza tokea ..huko nyuma baba yake alikuwa amewahi kuapa kwa kitabu cha dini kuwa hataitokee nini hawezi fanya abortion lakin mara hii alikuwa hakumbuki agano lake mpaka pale mkewe alipomkumbusha na hiyo ndio ikawa ponea ya huyu rafiki yangu ....
Rafiki yangu mpaka sasa bado swala hili linamuumiza sana .. anamlaumu sana baba yake kwanini alitaka kumuua ..
Embu tumpe ushuri huyu jamaa afanye nini
Kiuchumi anajiweza sana tena si kidogo ,ila mwezi uliopita wakiwa mapumziko ya weekend aliamua kumtoa out baba yake maana baba yake alikuwa amemwomba sana watoke nae angalau siku moja wazungumze mawil matatu nae ...
Baba aliamua kumweleza hali halisi kabla hajazaliwa.. kutokana na hali ngumu ya maisha waliyokuwa nayo wazazi wake mama yake alibahatika kupata mtoto wa kwanz wa kume( kaka yake huyu jamaa) akiwa na umri wa mwaka na nusu alibeb mimba nyingne isiyotarajiwa hivyo ukilinganisha na hali ya uchumi lile swala lilimuumiza sana baba yake baadae waliamua kushauriana na mama yake wakaitoe hiyo mimba ..
Ila mama yake alikuwa mwoga sana alihofia maish yake maana kwenye abortions lolote linaweza tokea ..huko nyuma baba yake alikuwa amewahi kuapa kwa kitabu cha dini kuwa hataitokee nini hawezi fanya abortion lakin mara hii alikuwa hakumbuki agano lake mpaka pale mkewe alipomkumbusha na hiyo ndio ikawa ponea ya huyu rafiki yangu ....
Rafiki yangu mpaka sasa bado swala hili linamuumiza sana .. anamlaumu sana baba yake kwanini alitaka kumuua ..
Embu tumpe ushuri huyu jamaa afanye nini