Hsushikiki ukiwa nalo ni ngumu kweli na kwa jinsi linavyouma kila mwezi utatamani uzae hata keshoMkuu, dawa ya chango ni dawa. Zipo dawa mbalimbali hospitalini na zile za mitishamba/mizizi. Niliwahi kuambiwa kuwa dawa kuu kuliko zote ni kwa mwenye chango kushika ujauzito.