Nimetumia benki za wanainchi posta, nmb, crdb. hii ya mwisho usijaribu kama una ishu za kuunga unga unaweza Kuta balansi negativu. Ila kesho nitakutafutia makato Yao utanisamehe nafukuzana na kamseleleko, kuna mwana ana Bday sasa Bia zinakuja kwa Kasi napoteza pointi kwa kutaipu.Makato yake yakoje ukilinganisha na mabenk mengne
Hyo bank uloisema hapo n ya kishenz sana. Kuna kipindi walikujaga skuli wakajinasibu eti wanafungua account bure, heee cku nmeweka hela wakakata 30k duuuh nlinyoosha mikonoNimetumia benki za wanainchi posta, nmb,... crdb. hii ya mwisho usijaribu kama una ishu za kuunga unga unaweza Kuta balansi negativu... Ila kesho nitakutafutia makato Yao utanisamehe nafukuzana na kamseleleko, Kuna mwana ana Bday sasa Bia zinakuja kwa Kasi napoteza pointi kwa kutaipu....
Changamoto za hz bank ni uchache wa ATM pia kuna baadhi ya mikoa hazipo mfano sidhani kama kigoma kuna branch ya equity.Equity Bank ....Bonge moja la benki yaani kwa kila huduma
Hahahaha, dah uwezi amini mi nimesoma ni bank gani ambayo matako yake si makubwa. Nimesoma mara ya pili ndo nikaelewa
Stress ni mbaya asee
Asnte sana mkuuNimetumia benki za wanainchi posta, nmb, crdb. hii ya mwisho usijaribu kama una ishu za kuunga unga unaweza Kuta balansi negativu. Ila kesho nitakutafutia makato Yao utanisamehe nafukuzana na kamseleleko, kuna mwana ana Bday sasa Bia zinakuja kwa Kasi napoteza pointi kwa kutaipu.
Changamoto za hz bank ni uchache wa ATM pia kuna baadhi ya mikoa hazipo mfano sidhani kama kigoma kuna branch ya equity.
Mwamba umetisha,Power Bank.
Amana bank makato yao yako vipi?Equity bank na Diamond Trust bank.
Angalia ipi itakufaa kati ya hizo based on other factors.
Kwa sasa sina account. Naplan kufungua personal account kwa ajili ya online transactions. Nmeresearch branches zao zpo chache sana compared to our local banksSi unatumia Visa?