Hospitali za Serikali kuna uzembe wa hali ya juu

LENGISHO

Senior Member
Sep 15, 2017
169
245
Habari ndugu zangu wana JF?

Natumai humu wote n wazima naombeni niwasilishe humu japo kwa ufupi sana.

Sikio lilikuwa linamuuma sana nileambiwa sitoweza kupatiwa matibabu maana daktari bingwa wa magonjwa ya masikio hayupo na badala yake atafika siku ya Jumamosi, niliona isiwe shida baadae nilrudi hosptalin hapo kwa tarehe niliyotajiwa kwa bahat nzuri nilimkuta docka na aliniandika dawa na alimwekea katika sikio dawa ile baada ya hapo sikio ndio lilizidi maumivu maradufu kuliko mwanzon niliamua kusoma ile dawa nilikuta imeandikwa FOR EXTERNAL APPLICATION ONLY hapo ndipo nilipopatwa na wasiwasi zaidi maana docta alidai sikio lina tatizo la fangas

Baadae niliamua niende hosptali nyingne ya binasf walishtushwa na aina ya dawa niliyopewa na wakambadilishia dawa ila sikio lilishaanza kupoteza uwezo wa kusikia maana ile dawa niliyopewa mwanzoni ilienda kuziba sikion na wamejarb kuliosha matumain yako kwa kias fulani.

Uzembe huu ungeweza kumsababishia ukilema wa kutosikia kabisa

Dawa yenyewe ni hii hapa wadau



IMG-20201026-WA0030.jpg
 
Naomba usi generalize. Kama umeenda hapo mtaani kwako ukafanyiwa uhuni sio madaktari wote wa hosp za serikali wako hivyo. Kwanza wewe binafsi ulipewa dawa hukuchukua trouble ya kuisoma mpaka wakaja kukusomea hapo ulipokwenda kupata tiba unayohisi Ni nzuri.

Kama sio majungu unayosema, kwanini huitaji hiyo hosp ili ama wengine wasiende hapo au hatua stahiki zichukuliwe dhidi ya Hilo kanjanja.
 
Unapaswa kumfungulia kesi ya madai huyo daktari ili ufidiwe km uzembe utabainika. Usiache kufanya hivyo.
 
Una uhakika dawa uliyoandikiwa ndio hiyo uliyopewa?
Ulisoma dawa kabla ya matumizi?
Mfamasia alikuandikia jinsi ya kutumia dawa.
Last but not least tutajie jina la hosp na jina la huyo mhuni kanjanja. nakuahidi leo hatalala nyumbani kwake.
 
Una uhakika dawa uliyoandikiwa ndio hiyo uliyopewa?
Ulisoma dawa kabla ya matumizi?
Mfamasia alikuandikia jinsi ya kutumia dawa.
Last but not least tutajie jina la hosp na jina la huyo mhuni kanjanja. nakuahidi leo hatalala nyumbani kwake.
Ndiyo maana aliniagiza na alitaka nimepelekee na yeye ndiye aliyemwekea
 
Ndiyo maana aliniagiza na alitaka nimepelekee na yeye ndiye aliyemwekea
You are responsible for your health and that of your family.

Ni jukumu lako kumuuliza daktari Kama afanyalo Ni sahihi. Dawa ya masikio siku zote iko katika form ya drops. Wewe mwanao anawekewa cream Wala huhoji. Inamaana ukiona kanjanja anamdunga mwanao sindano sikioni au jichoni hutahoji?
 
Habari ndugu zangu wana JF?

Natumai humu wote n wazima naombeni niwasilishe humu japo kwa ufupi sana...
Huyo Dr nahisi kichwan kwake alikuwa anafikiria candibiotic ear drops, msamehe mkuu hospitali hasa hiz za serikali wahudumu wa afya wako na stress nying sana pengine alipitiwa tu ama inawezekana aliyekuuzia dawa naye ameshindwa kuona vizur mwandiko wa Dr yote yanawezekana.
 
Hospital nyingi za serikali ni hovyo sana benjamin mkapa wamepeleka vipimo vya mama yangu week hii muhimbl vnavyoonesha inabid apasuliwe kichwa badala ya mguu..Mind u nikiwa UDOM nasoma niliwahi kujibzana vibaya na mhudumu wa maabara..lkn nlimkuta akiwa hospital ya agha khan akiwa mstaarabu balaa. Watumish weng wa hospital za gvt n kama huwa wanafosiwa kufanya kaz haya mambo n nadra sana hospital za private.

Ukiumwa jitahd uende private hospital unless other wise.
 
Back
Top Bottom