Original TWS Earbuds
Genuine Assured [emoji736]
Bluetooth Version 5[emoji736]
High Capacity Long Endurance 4-5 hrs
New Type-C Interface
Very Soft & Comfortable
Tsh 40,000/=
[emoji403] Free Delivery in ArushaTunatuma Mikoa Yote [emoji817]
Calls/Msg/whatsApp
+255712350159
Lige Smart Watch
Genuine Assured[emoji736]
answer Calls & Make Calls and Msg[emoji736]
Get an extra Strap
Measure[emoji736]
7 days with Charge [emoji736] Steps, Calories, Steps, Weather [emoji736]
control Music & Camera [emoji736]
Sports Modes [emoji736]
Tsh 75,000/=
[emoji626] Free Delivery...
Na Imani mko poa kuna rafiki yangu hapa katumia Antibiotic inaitwa Cefadroxil anasema kamaliza Dose mchana je inakaa kwenye mwili masaa mangapi ili aendee kunywa Pombe.
[emoji120]
Original Wireless Earbuds TWS
Deep bass and 3D Sound
Active Noise Cancelation
Touch Control
Long life battery
Charging time 1.5 hrs
Bluetooth Version 5.0
Designed for Comfort and Stability..
Compatible with both Android and iOS
Arusha
Tsh 40,000/=
0712350159
Naitwa Esther Frank mgobasa
Nimezaliwa 16/01/1990 Mkoa wa Njombe nimesoma na kumaliza. Shule msingi mambegu mwaka 2005.
Na kuendelea Shule ya Secondary Luduga sec na kumaliza Mwaka 2009 nakuendelea Chuo cha Brige Institute of Community development 2010-2011 nikahitimu Ngazi ya cheti...
Habari wakubwa,
Naenda kwenye tatizo kuna siku nililalia bega vibaya, sasa tokea siku hiyo bega limekufa ganzi na lina uma.
Yaani na lala kwa tabu sana wakuu tiba ni nini naombeni msaada wenu.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app
LIKIZO
#Siku1
STUDENT: Hello sir, bila Shaka ni Sir Jonare?
MWALIMU: Ee Mimi hapa, naongea na nani?
STUDENT: Aaah angalau, unaongea na Veronica Saguda nimeomba namba yako kwa Yakobo
MWALIMU: Veronica, mwanafunzi wa form four au?
STUDENT: Ndiyo sir shikamoo
MWALIMU: Marahaba hujambo Vero
STUDENT...
Ndugu Mteja, Kutakua na maboresho ya huduma za Tigo Pesa leo kuanzia saa 6 usiku mpaka 12 asubuhi. Tafadhali fanya miamala yako kabla na baada ya muda huo
Hiyo ndio Sms niliyotumia jana ila mpaka muda hii saa 11:37 bado haifanyi kazi mnafeli wapi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu,
Hapa ndiyo sehemu yangu ya kupata maarifa. Naomba kuuliza RB huchukua muda gani kufika ukomo wake?
Pia, kesi mahakamani huchukua muda gani kufutwa endapo mtuhumiwa hakuonekana mahakamani au kakimbia?
Asanteni.
Habari wakubwa
Naomba kujua Billing zip code ya Tanzania nataka kufanya manunuzi Online sasa wanataka hiyo nimejaribu 00000 imekataa, nimejaribu pia 23100 imekataa.
Wakuu msaada.
Kuna misemo mizurii ipo na pia ipo mibaya mimi naanza na mizuri
Mrisho Mpoto-Waliopo hatuwataki na wanaotaka tuwape hatuwaamini
Mwana FA -usipende amani wakati wa vita
Fid Q- Ukweli hauna Miguu lakini Uongo una mabawa
Malizia zingine ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazima Huku
Nina Miaka 26 Jinsia ni Mme
nincheti cha Form 4 mimi ni dereva mzoefu nina uzoefu wa miaka 6 na pia nina uzoefu wa safari ndefu madaraja ya Leseni yangu ni haya A,B,D na E
napia nimesoma Tour Guide na nina Basic Certificate in Eletronics Maintenance Nipo tayari kufanya kazi...
*Dogo kanitumia meseji akiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" nikamuuliza "pckt mny ndio nini?” Anajibu ni kifupi cha "pocket money" Baadaye nikamtumia 10,000, akaniuliza hiyo hela ni ya nini? Nikamwambia ni kifupi cha 100,000.*
_*Na hii ni mpaka afunge shule*_
_Mambo ya...
Nimefanikiwa kujua sisi Watanzania hatujui tunataka nini RC Makonda alipoanza kufuatilia madawa ya Kulevya mkaanza mara cheti alitumia cha mtu mwingine alipokuwa DC hamkuwepo
au alikuwa na cheti halisi
Mkaanza mara J.K mpole sana anatakiwa Rais Mkali kaja JPM mnaanza kusema sijui Dikteta...
Mzee wa Ruksa mlisema kwake yeye kila kitu sawa sijui aliuza kile lawama
zikawa nyingi
Mzee wa Mtwara mkasema naye sijui
ufisadi umekuwa mwingi mara sijui Znz
Mzee wa msoga mkasema yeye full time ni kusmile tuuu mara hana maamuzi
mkasema anatakiwa Raisi mwenye maamuzi magumu
Mjomba Magu...
Vitendo hivi vyakimapenzi havikutengenezwa kwa ajili ya starehe au vichekesho,viko rasmi kuangamiza wanaoviigiza na watazamaji wao pia.Vinamlisha mtu tamaa ambayo inampa kuwa na njaa zaidi.
Hii ndio inayopelekea matokeo ya mtu kufanya punyeto na matendo yote ambayo yanahusiana na tendo la ndoa...
Leo admin kwenye group flani iv kasema wanawake ni kama vocha ukishatumia unatupa tuu , Nikamuuliza Dada yake ni mtandao gani Nashangaa naambiwa " You can't send massage to this group because u're no longer partcipant , Sasa sijui kosa langu ni nini jaman ... [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.