WATANZANIA HAWAJUI WANACHOKITAKA

Royal Son

JF-Expert Member
Dec 22, 2016
875
1,618
Nimefanikiwa kujua sisi Watanzania hatujui tunataka nini RC Makonda alipoanza kufuatilia madawa ya Kulevya mkaanza mara cheti alitumia cha mtu mwingine alipokuwa DC hamkuwepo
au alikuwa na cheti halisi
Mkaanza mara J.K mpole sana anatakiwa Rais Mkali kaja JPM mnaanza kusema sijui Dikteta wengine
Hivi sasa tunataka kiongozi wanamna gani yule Bwana Ufufuo alipomtukana. Kardinal mkasema hayupo sawa aliposema anafufua watu mkasema Muongo leo kaja na hili la Daudi
Mnaanza kumwamini yeye anasema anacheti cha Daudi yeye amekuwa Necta
Tusiwe kama watoto mtoto anaweza kulilia baiskeli mkiwa njiani kwenda kununua hiyo baiskeli akaona pipi akalilia hiyo akasau baiskeli
Tumpe support huyu RC
Mnaanza sijui cheti muda wote mlikuwa wapi
 
Kufufua watu akili ya la kwanza tu inakuambia hilo jambo haliwezekani, kujua matokeo ni kitu cha muda mdogo tu na kinawezekana. Hivyo kwenye kufufua ataungwa mkono na waumini wake kwenye swala la Bashite ataungwa mkono na kila mwenye akili timamu.

Watu walisema Raisi mpole hawakumaanisha wanataka raisi anayezunguka na kuahidi bilioni kumi kila anaposimama, au anayesitisha ajira, au anayeididimiza sekta binafsi, au anayejenga uwanja wa ndege huku tenda kampa binamu yake, au anayegombanisha mwajiri na wafanyakazi wake.

Unazingua mdau, kama umepita miaka 20 halafu umeandika hivi jua kufikiria kwako kuna mtu kakushikia.
 
Kitu cha msingi kwa muda huu ni cheti.

Haiwezekani mtu aseme watumishi waliopo ofisini kwake hakuna wanachokifanya isipokuwa watumishi wanne tu, kumbe yeye anatumia cheti cha mtu mwingine.

Huyu jamaa alizidi dharau sana.

Nimefanikiwa kujua sisi Watanzania hatujui tunataka nini RC Makonda alipoanza kufuatilia madawa ya Kulevya mkaanza mara cheti alitumia cha mtu mwingine alipokuwa DC hamkuwepo
au alikuwa na cheti halisi
Mkaanza mara J.K mpole sana anatakiwa Rais Mkali kaja JPM mnaanza kusema sijui Dikteta wengine
Hivi sasa tunataka kiongozi wanamna gani yule Bwana Ufufuo alipomtukana. Kardinal mkasema hayupo sawa aliposema anafufua watu mkasema Muongo leo kaja na hili la Daudi
Mnaanza kumwamini yeye anasema anacheti cha Daudi yeye amekuwa Necta
Tusiwe kama watoto mtoto anaweza kulilia baiskeli mkiwa njiani kwenda kununua hiyo baiskeli akaona pipi akalilia hiyo akasau baiskeli
Tumpe support huyu RC
Mnaanza sijui cheti muda wote mlikuwa wapi
 
Back
Top Bottom