Royal Son
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 587
- 974
Habari wakubwa,
Naenda kwenye tatizo kuna siku nililalia bega vibaya, sasa tokea siku hiyo bega limekufa ganzi na lina uma.
Yaani na lala kwa tabu sana wakuu tiba ni nini naombeni msaada wenu.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naenda kwenye tatizo kuna siku nililalia bega vibaya, sasa tokea siku hiyo bega limekufa ganzi na lina uma.
Yaani na lala kwa tabu sana wakuu tiba ni nini naombeni msaada wenu.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app