Royal Son
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 587
- 974
Kuna misemo mizurii ipo na pia ipo mibaya mimi naanza na mizuri
Mrisho Mpoto-Waliopo hatuwataki na wanaotaka tuwape hatuwaamini
Mwana FA -usipende amani wakati wa vita
Fid Q- Ukweli hauna Miguu lakini Uongo una mabawa
Malizia zingine ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mrisho Mpoto-Waliopo hatuwataki na wanaotaka tuwape hatuwaamini
Mwana FA -usipende amani wakati wa vita
Fid Q- Ukweli hauna Miguu lakini Uongo una mabawa
Malizia zingine ....
Sent using Jamii Forums mobile app