Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, wakati wa kuteua wagombea wa udiwani kule Tunduma kuna wagombea wa vyama vya upinzania hasa Chadema na ACT Wazalendo waliotangazwa na idara ya uhamiaji kuwa sio raia wa Tanzania. Jambo hilo likatumika kama kigezo cha kuwaengua kwenye kugombea na CCM...
Jana mida ya saa 4 kasoro usiku nikiwa na simu yangu naendelea kufuatilia bunge. Nilitokea Kijitonyama nikapitia Shekilango na nilipita mitaa ya Sinza barabara ya Mori nilitokea Mori kuelekea Lufungira, kwa wakazi wa Dar es Salaam wanajua maeneo hayo ni maarufu kwa biashara ya ukahaba. Na kwa...
Wakuu nauza kiwanja changu chenye ukubwa wa ft 50 x 50 eneo la Mbagala Maji Matitu. Kiwanja kipo umbali wa 1.3km kutoka barabara ya lami inayoelekea Mbande na Chamazi ambayo kwa sasa inapanuliwa. Pia kimezungukwa na nyumba, umeme upo, maji yapo nyumba ya pili tu na eneo linafikika kwa gari...
KAULI NZITO ZA WAZEE
"Katiba inavunjwa, Rais anachekacheka tu".
Mzee Joseph Butiku.
"Siku hizi hakuna UCHAGUZI, kuna minada tu, mtu yeyote mwenye pesa siku hizi anaweza kununua uongozi".
Jaji Joseph Warioba.
"Ni bora kukubali mabadiliko wakati wanaoyadai ni wachache kuliko kusubiri wawe...
Wakuu nimepita hapa Buguruni kuelekea Ubungo karibu na daraja la Matumbi kuna ajali bodaboda na gari walikuwa wakielekea Bugurni inaonekani bodaboda na dereva wake wameshika moto. Mungu amwepushe na mauti Dereva wa bodaboda jamani.
Naoma madr mnisaidie.
Hivi inawezekana mtu kupima VVU ndani ya wiki 1 na kugundulika kuathirika au kuwa na uhakika kwamba yuko salama?
Hii ni kutokana na mtoto aliyebakwa kuonekana kwamba hajaathirika wakati alipimwa ndani ya wiki hiyohiyo aliyobakwa.
Naomba msaada.
Dar es Salaam. Mradi wa Bandari ya Mbegani Bagamoyo, mkoani Pwani ndiyo mradi mkubwa wa uwekezaji nchini utakaoifanya wilaya hiyo kuwa na mwonekano.
Aidha, kukamilika kwa mradi huo kunatarajiwa kuliingizia taifa kiasi kikubwa cha fedha na kuzalisha fursa nyingine nyingi za kiuchumi...
Hii nimeipata kwa jirani, wakuu hebu tuijadili:
TUME YA MABADILIKO YA KATIBA1. Jaji Joseph Sinde Warioba - Mwenyekiti
2. Mheshimiwa Jaji Mkuu Mstaafu Augustino Ramadhani - Makamu Mwenyekiti.
Wajumbe kutoka Tanzania - Bara
1. Profesa Mwesiga L. Baregu 2. Ndugu Riziki Shahari Mngwali 3. Dr...
Hii inatoka kwa Kamanda Msigwa:
Katika taarifa yake mzee Warioba alituelezea mambo kumi yaliyochangiwa zaidi na wananchi
1. Haki za binadamu
2.muungano.
3.huduma za jamii
4.urais wa jamhuri ya muungano
5. Mfuko wa tawala za Mikoa na serikali za mitaa
6.vyombo vya utoaji haki.
.7.raslimali za...
Katika vyuo 100 bora Afrika kwa mwaka huu 2013 University of Dar es Salaam wamechukua nafasi ya 6 na kuanzia hapo mpaka namba 98 kuna Hubert Kariuki Memorial na hakuna chuo kingine cha Tanzania.Kwanza, naomba anayejua anisaidie kujua hii ranking inaangalia vigezo gani?Pili, je vyuo vyetu sio...
Ndugu wanaJF,
Nimesikitishwa na kushangazwa na habari iliyochapishwa na kupewa uzito mkubwa sana (lead story) na gazeti la The Citizen toleo la jumapili tarehe 07-04-2013 iliyo na kichwa kifuatacho:
"Where on earth is Kakobe? Local church anxious as ‘healer' bishop skips town".
Katika...
Hebu tazama hapa: Loliondo Jitters - YouTube
Mama Mugo, Waziri wa Afya wa Kenya anasema huyo ni mganga na sio mhubiri wa dini, wakati mawaziri wa kwetu walienda kupanga foleni kunywa maji eti ni dawa!!!!
Je, Tanzania tuna mtaala wa elimu?
Kitila Mkumbo
WIKI ya kwanza ya Bunge la 10 lililoanza Januari 29, mwaka 2013 lilitawaliwa na hoja mbili binafsi kuhusu elimu. Hoja ya kwanza ni ile iliyowasilishwa na Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba, kuhusu kuanzishwa kwa mfuko maalumu wa elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.