Top 100 universities in Africa

ESAM

JF-Expert Member
Mar 15, 2011
1,164
548
Katika vyuo 100 bora Afrika kwa mwaka huu 2013 University of Dar es Salaam wamechukua nafasi ya 6 na kuanzia hapo mpaka namba 98 kuna Hubert Kariuki Memorial na hakuna chuo kingine cha Tanzania.Kwanza, naomba anayejua anisaidie kujua hii ranking inaangalia vigezo gani?Pili, je vyuo vyetu sio bora kiasi hicho, kwa mfano Kenya pamoja na Nairobi University kuwa ya 17, kuna vyuo vingine 5 katika orodha hiyo. Huku Uganda ikiingiza Makerere pekee katika nafasi ya 10.Nauliza ili nijue jamani maana kuuliza sio ujinga.Wakuu wanaJF naomba kuwasilisha.Soma mwenyewe hapa:Top 100 Universities in Africa | 2013 World University Ranking
 
Kama udsm kipo kumi bora wewe unategemea nini? Ndio maana hili bara linaendelea kuwa maskini
 
Yaani katika vyuo 100 tumeingiza viwili tu? UDSmM (6) na Kairuki(98) navipongeza hivi vyuo wakaze buti. Nini tatizo la Mzumbe, SUA, Open University, UDOM na SAUT?
 
kaka tatizo ni idad ya madoctors,maprofessors yan dat ina play part kubwa na ndo mana kamwe hauwez kulinganisha SAUT na da best of da best UDSM
 
Yaani katika vyuo 100 tumeingiza viwili tu? UDSmM (6) na Kairuki(98) navipongeza hivi vyuo wakaze buti. Nini tatizo la Mzumbe, SUA, Open University, UDOM na SAUT?

Subiri Darasa la saba waingie halafu ukitafute katika 200 bora. Guys at work
 
Hizo rankings ziko based on web popularity, how often watu wana google jina la chuo au kuangalia website ya chuo.Hazina uhusiano wowote na ubora wa chuo. Confirm this kwenye website "
[h=5]Being the 4icu.org University Web Ranking a non-academic ranking, the need for ranking methodology transparency and the ability of testing and reproducing the results, as suggested by the Berlin Principles on Ranking of Higher Education Institutions, is less stringent than for academic rankings.[/h] The aim of this website is to provide an approximate popularity ranking of world Universities and Colleges based upon the popularity of their websites. This is intended to help international students and academic staff to understand how popular a specific University/College is in a foreign country.
We do not claim - by any means - to rank organisations or their programs, by the quality of education or level of services provided. The 4icu.org University Web Ranking is not an academic ranking and should not be adopted as the main criteria for selecting a higher education organization where to study."
 
Katika vyuo 100 bora Afrika kwa mwaka huu 2013 University of Dar es Salaam wamechukua nafasi ya 6 na kuanzia hapo mpaka namba 98 kuna Hubert Kariuki Memorial na hakuna chuo kingine cha Tanzania.Kwanza, naomba anayejua anisaidie kujua hii ranking inaangalia vigezo gani?Pili, je vyuo vyetu sio bora kiasi hicho, kwa mfano Kenya pamoja na Nairobi University kuwa ya 17, kuna vyuo vingine 5 katika orodha hiyo. Huku Uganda ikiingiza Makerere pekee katika nafasi ya 10.Nauliza ili nijue jamani maana kuuliza sio ujinga.Wakuu wanaJF naomba kuwasilisha.Soma mwenyewe hapa:Top 100 Universities in Africa | 2013 World University Ranking

mbona hii ki2 tunaikosoa kwamba ni OUTDATED lkn hamuelewi soma present ranking hapa
 
staff members credentials and their involvement in the international forums matters a lot. sasa unakuta chuo kimejaza masters na 1st degrees za kuungaunga unategemea nini?
 
Katika vyuo 100 bora Afrika kwa mwaka huu 2013 University of Dar es Salaam wamechukua nafasi ya 6 na kuanzia hapo mpaka namba 98 kuna Hubert Kariuki Memorial na hakuna chuo kingine cha Tanzania.Kwanza, naomba anayejua anisaidie kujua hii ranking inaangalia vigezo gani?Pili, je vyuo vyetu sio bora kiasi hicho, kwa mfano Kenya pamoja na Nairobi University kuwa ya 17, kuna vyuo vingine 5 katika orodha hiyo. Huku Uganda ikiingiza Makerere pekee katika nafasi ya 10.Nauliza ili nijue jamani maana kuuliza sio ujinga.Wakuu wanaJF naomba kuwasilisha.Soma mwenyewe hapa:Top 100 Universities in Africa | 2013 World University Ranking

Nilishawahi kulifafanua hili kupitia thread moja humu humu jamvini wiki chache tu zilizopita...nikipata muda nitakutafutia! In short, hao jamaa ranking yao haitokani na academic performance bali kutokana na frquency search ya versity website! Kuna taasisi moja wao ndo wanatoa ranking by academic performance. Kwenye hiyo ranking, Kairuki haipo kwenye top 100! UDSM ipo somewhere forty something...nazani 48! Kwenye hiyo ranking, Tanzania imeingiza vyuo vitatu! Kwa msimu ulioisha, MUHAS wanaongoza TZ wakifuatiwa na UDSM na lastly ni SUA!
 
Yaani katika vyuo 100 tumeingiza viwili tu? UDSmM (6) na Kairuki(98) navipongeza hivi vyuo wakaze buti. Nini tatizo la Mzumbe, SUA, Open University, UDOM na SAUT?

acha ushamba na uvivu wa kusoma mbona SUA ipo nafasi ya 59 na MUHAS ya 98?
 
Nilishawahi kulifafanua hili kupitia thread moja humu humu jamvini wiki chache tu zilizopita...nikipata muda nitakutafutia! In short, hao jamaa ranking yao haitokani na academic performance bali kutokana na frquency search ya versity website! Kuna taasisi moja wao ndo wanatoa ranking by academic performance. Kwenye hiyo ranking, Kairuki haipo kwenye top 100! UDSM ipo somewhere forty something...nazani 48! Kwenye hiyo ranking, Tanzania imeingiza vyuo vitatu! Kwa msimu ulioisha, MUHAS wanaongoza TZ wakifuatiwa na UDSM na lastly ni SUA!

acha wivu wa kike.
 
Back
Top Bottom