Ajali Buguruni karibu na Matumbi

ESAM

JF-Expert Member
Mar 15, 2011
1,163
546
Wakuu nimepita hapa Buguruni kuelekea Ubungo karibu na daraja la Matumbi kuna ajali bodaboda na gari walikuwa wakielekea Bugurni inaonekani bodaboda na dereva wake wameshika moto. Mungu amwepushe na mauti Dereva wa bodaboda jamani.
 
Back
Top Bottom