Kuna watu wengine huhitaji kuwafahamu ili uweze kupima level ya akili zao. Ukisoma tuu andiko lake unamuhurumia kwa vile kama binadamu naye anahaki ya kuishi kama binadamu wengine ila hana faida. Labda atumike kama mtambo wa kutengeneza mbolea ya samadi.
Nchi hii utafikiri tumerogwa, uchafu kuanzia barabara ya Lumumba mpaka Kariakoo yote utafikiri hakuna wahusika au viongozi,tumezoea maneno matupu utendaji sifuri. Meya Slaa ajione kuwa hafai na viongonzi wenzake kuongoza Manispaa uchafu huu ni kielelezo chauongozi wao.
sasa na wewe unatetea ujinga ina maana watu wote wa Kariakoo wakihamia hilo eneo unalodai wewe watatosha kweli..Inaonyesha wewe ni under 15 years manake pointi unayotoa yaani kama ...........CCM hawajatimiza ahadi walizotoa kwa asilimia 78 ni asilimia 22 tu nazo ni kuwafurahisha wahisani na kama una upeo hata kidogo tu utagundua kwamba sehemu ambao ni makazi ama wahisani wanapendelea kupita ama kuishi wakiwa Tanzania ndizo zilizopewa kipaumbele..
Hivi wewe kichwani una ubongo au kamasi, mtaa wa Ufipa wa wapi uko hivyo? Halafu mtaa huo unahusikaje na taka zilizozagaa katikati ya jiji? Pia Slaa hapa anahusikaje? CCM inahusika maana kwenye mabaraza ya manispaa zote wao ndo watawala lakini pia hata serikali yote wanaongoza wao. Sasa hata kama mameya wamezembea kwa nini mawaziri hawaingilii kati kunusuru hali? Rais, waziri mkuu nao wamelala usingizi wa pono. Wana Tanzania hivi kwanini hii hali tunaridhika nao na hatuchukui hatua?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.