KAULI NZITO ZA WAZEE
"Katiba inavunjwa, Rais anachekacheka tu".
Mzee Joseph Butiku.
"Siku hizi hakuna UCHAGUZI, kuna minada tu, mtu yeyote mwenye pesa siku hizi anaweza kununua uongozi".
Jaji Joseph Warioba.
"Ni bora kukubali mabadiliko wakati wanaoyadai ni wachache kuliko kusubiri wawe wengi, wanapokuwa wengi sana, jambo wanalolidai, watalidai kwa nguvu sana na kwa madhara makubwa na utakapolitekeleza kwa kulazimishwa, halitakuwa salama".
Prof.Palamaganda Kabudi.
"Katiba inavunjwa, Rais anachekacheka tu".
Mzee Joseph Butiku.
"Siku hizi hakuna UCHAGUZI, kuna minada tu, mtu yeyote mwenye pesa siku hizi anaweza kununua uongozi".
Jaji Joseph Warioba.
"Ni bora kukubali mabadiliko wakati wanaoyadai ni wachache kuliko kusubiri wawe wengi, wanapokuwa wengi sana, jambo wanalolidai, watalidai kwa nguvu sana na kwa madhara makubwa na utakapolitekeleza kwa kulazimishwa, halitakuwa salama".
Prof.Palamaganda Kabudi.