Kwenye simu yako ya mkononi, mchepuko wako wa kike/kiume umeuandika jina gani ili mmeo/mkeo asiutambue? Mimi nimeupa jina BOSS WANGU, tena akipiga simu nikiwa na mke wangu, wakati wa kupokea natangulia kusema huyu boss wangu msumbufu, halafu naenda pembeni!
Kwa kwelii huu ni umbea 100%, huyu Prof. Juma Kapuya aliyefunga ndoa (habari iko Muungwana blog) ndiye yule aliyekuwa waziri enzi zileee?
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua JF ina wataalam wengi, ningependa kuongeza muito (message alert) kwa upande wa MESEJI kwenye simu ya Samsung, hivi inawezekana? Msaada tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni vizuri pale unapokosa kuona "uzi" wa mwana/wana JF katoka "ukumbi" huu tuliouzoea, tuulizane mko wapi? Mpo lakini mmetingwa na shughuli au mmetoka kabisa kwenye ukumbi JF? Mfano mzizimkavu, mwifwa, emmyta na wengine wengi mpo?
Nilienda mkoa wa Songwe (mojawapo ya mikoa ya nyanda za juu kusini) nikaamua kwendaona KIMONDO. Wenyewe wasema kina uzito wa "16 metric tons"
Sent using Jamii Forums mobile app
WanaJF, Hivi hapa kwetu Tanzania kuna Air conditioner (AC) zenye kutoa upepo wa moto badala ya baridi! Huku niliko baridi imeanza kupiga! Msaada tafadhali
Kwa wale wanaJF walioko kwenye ndoa, ushawahi kujiuliza ni kitu gani hasa kinakufanya ukasirike mpaka kutaka kuua ukisikia mkeo/mmeo anachepuka kwenye ndoa yenu, ukijua kabisa kwamba utam wa "tunda" unabaki uleule, saizi inabaki ileile nk. Je ni hofu ya magonjwa au ni nini hasa? (Watoto...
Hicho kichwa cha habari nimekikuta kwenye kadi ya usalama iliyoko kwenye ndege zetu pendwa za Bombadier. Kilichonishangaza ni haya maneno "....anaekaa karibu na mlango wa dharura anatakiwa ... ajue kuongea Kiingereza..."
Hivi lugha ya Kiingereza ina uhusiano gani na uokoaji tukichukulia kwamba...
WanaJF,
Mara zote nimeona ndege ikitaka kurudi nyuma mpaka isukumwe, haiwezi kurudi kinyumenyume, hivi kwanini ilitengenezwa hivyo kwamba isiweze kurudi kama yafanyavyo magari?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.