Mkuu pole sana hali hiyo nilikuwa nayo takriban miaka miwili nikila chochote chenye mfano WA ukali wowote basi ulikuwa ukiniwasha ulimi na michubuko sikutumia dawa yoyote na hali hiyo ilinipotea mpk leo hii ni mwaka usiopungua WA 9 hivi.Ulimi kuchubuka chubuka na wakati mwingine kuuma unapokula baadhi ya vyakula kwa mfano dagaa, sababu yake na dawa yake ni nini?
Wee nani alikuambia uzame uvinzaUlimi kuchubuka chubuka na wakati mwingine kuuma unapokula baadhi ya vyakula kwa mfano dagaa, sababu yake na dawa yake ni nini?
Huli mboga za majani za kutosha ndo Sababu,Dawa Ni hiyohiyo unyoikwepaUlimi kuchubuka chubuka na wakati mwingine kuuma unapokula baadhi ya vyakula kwa mfano dagaa, sababu yake na dawa yake ni nini?
akijibu nitagiushawah kuzamia ufukweni?
Ulimi kuchubuka chubuka na wakati mwingine kuuma unapokula baadhi ya vyakula kwa mfano dagaa, sababu yake na dawa yake ni nini?
Ndugu mboga au vujimboga?Kila mlo sikosi mboga za majani!