bbc
JF-Expert Member
- Jan 18, 2016
- 3,841
- 4,145
Kwa wale wanaJF walioko kwenye ndoa, ushawahi kujiuliza ni kitu gani hasa kinakufanya ukasirike mpaka kutaka kuua ukisikia mkeo/mmeo anachepuka kwenye ndoa yenu, ukijua kabisa kwamba utam wa "tunda" unabaki uleule, saizi inabaki ileile nk. Je ni hofu ya magonjwa au ni nini hasa? (Watoto tupisheni, nendeni sebleni mkaangalie tv).