Jambo jambo?
Nimejikuta nina pata mahaba ya kutaka kutembelea ,kuishi hii nchi na kuijua vizuri.
Nimesoma Google baadhi ya taarifa za nchi hiyo na nataka mtu anayejua zaidi anijuze
-Biashara ipi inafana sana?
-Sheria za uwekezaji zikoje kwa wageni?
-Sheria za uhamiaji kwa wageni?
niliwahi...
Jambo Jambo?
Nashangaa wanaume wenzangu ambao wameoa na wale ambao hawajaoa kuwa na tabia za ajabu pale ambapo anakuwa anampatia pesa ya matumizi ya aina yoyote na ikatokea kuna chenji basi huwa wanadai.
Mfano wa 1
Umempa mke/Mwanamke 10,000/= akununulie vocha ya mtandao husika ya 2,000/=...
Jambo Jambo?
Wote tunafahamu kuwa skubiduu(Scooby-doo) wa katuni yetu pendwa alikuwa na bado anaendelea kuwa kichekesho kwenye luninga na vipindi vya watoto.
Basi na mimi kama shabiki maandazi wa Yanga na kwa kuheshimu mapenzi ya dhati ya uongozi kwa kutusajilia Famba hili nauungana nao kwa...
Jambo Jambo?
Watu wanaweza kudhani pengine ni hadithi ya kusadikika lakini la hasha,Ni kweli baada ya kupokea taarifa hizi kwa mmoja wa viongozi wanaohusika na kuhesabu mtonyo.Iko hivi;
Nina Mama mdogo wangu mtu wa makamo tu (Sister mdogo kwa bi mkubwa tumbo 1) ni muumini wa Mwamposa kwa zaidi...
Jambo Jambo?
Naomba kujua haya ya kununua bonds,hisa kwenye stock exchange na mambo ya UTT-AMIS
kiufupi napenda kuwekeza hela kwenye mambo kama hayo, ambayo kwa shughuli zangu za utafutaji nalazimika kuwa kazini saa11 alfajiri mpka saa 2 kasoro usiku. Monday -Sunday,holiday ni siku 4 tu kwa...
Jambo jambo?
Hii video ilikuwa mahojiano ya kipindi maalum ambacho huwahoji watalii kutoka duniani na waliotembelea Kenya, Uganda, na Tanzania, in short ni EAC.
Jamaa amewapa makavu kuwa Tanzania inaiishi miaka 30 nyuma ya dunia huku nchi jirani zikiendelea kuchapa mwendo.
Lakini tusisahau...
Jambo jambo?
HUKU TUNA MACHUNGU YA BANDARI YETU EMU TUPITIE HAPA.
Kila mtu yuko bize na mambo yake, iwe kazi biashara au majukumu mengine.
Ila nashangaa kuna wanaume wengine huwa siku inapita hata push up 3 hajapiga ili kuchangamsha mwili na kuweka mwili katika tension. Ukitaka kusema uko...
Jambo Jambo?
Poleni na mambo ya bandari lakini hongereni na majukumu ya kila siku ya maisha.Naenda moja kwa moja kwenye mada kama inavyosomwa hapo juu.
Tangu najitambua mpka nafika hapa nilipo Huwa nasikia au kuona wagonjwa kadhaa wa kisukari lazima yani LAZIMA mchagga awepo na huwa idadi ni...
Jambo Jambo?
Niko zangu Kahama na leo sijaenda kibaruani kwasababu ya mafua makali na homa kimtindo.
Nikaona ni wasaa wa kufuatilia “Bunge kibogoyo,” mwanzoni chaneli zote za bongo ziligoma wakaacha ya za dini ila hizi za nje zinaonyesha.
Kwa hali ya bandari inayoendelea sina mzuka na chaneli...
Jambo Jambo?
Yanga walilambishwa asali kwa Kisu, Favor zikazidi wakajiona wao ndo wenye nchi na wananchi, kumbe Hangaya ni mtu wa strategy.
Siku zote ukitaka kumtuma Mbwa lazima umtupie mifupa miwili mitatu, kuna ile kauli ambayo si nzuri inayotumika mtaani inasema
“Ukikubali kuolewa Sharti...
Jambo Jambo?
Hiki ni kisa cha kweli na kama mods wataniruhusu nitaweka PM screenshot za mimi na Jamaa jinsi tulivyochapana.
Jamaa anajiita “Medecin“ humu sijui alitokea wap ila nakumbuka alikuwa ananiqoute kwa matusi kweny nyuzi fulani na mimi bila hiyana nikawa namjibu mpka jamaa akahamia PM...
Jambo jambo?
Haya kama uko karibu chapu chapu uje tujumuike.
Haiwezekani Bar nzima anayetumia JF niwe peke yangu aiseee.
Uwe mwanamke uwe mwanaume Sijali mradi Gambe zitembeee
Kama unavuta shuka muda huu unasubiri mpka jumamosindo ule bhata pole na Nikutakie usiku mwema
BENKI ZIMESHATEMA...
Jambo Jambo?
Leo nimechukizwa sana na idadi ya nyuzi nilizokutana nazo hapa JF.
Nyuzi za wanaume wengine wakurya kabisa eti wanalilia wanawake ambao hawajawahi kuwaona (baadhi) na kuandika nyuzi mbalimbali za kutaka kuonekana ma”gentleman” kumbe ni maboya tu.[emoji23]
Inasikitisha vbaya sana...
Jambo Jambo?
Nauliza tu swali.
Hivi kuna Rais alitumia Afisa Usalama hawa TISS kwa kiwango kikubwa hivi?
Kupitia hao TISS aligundua mengi sana na mengine hatuyajui kwasababu ni siri za Nchi, mengine ya juu juu ni haya kama yapo mengine utayaongezea;
1. Muhimbili ambako aligundua upigaji wa...
Jambo Jambo?
Wakati wa uzinduzi wa barabara ya Mto wa Mbu-Loliondo yenye kilometa 217 na sehemu ya wasso -sale yenye kilometa 49 mhe.makamu wa raisi Dkt.Mipango amekabidhiwa kifimbo hicho kuonyesha kuwa yeye ni mamlaka na anapaswa kusikilizwa.
Sasa naomba kujua wadau.
Ina maana kunaweza...
Jambo Jambo?
Moja kwa moja kwenye point.
Aisee huwa napenda sana Nyau mwenye nywele aisee, Sipendi mwanamke awe na kipara au wale wanawake wanaotoa nywele kwa kutumia wax kwenye nyau.
Mwanzoni kipindi naangalia “X” videos nikiwa kwenye balehe nilikuwa sipati mzuka nikiona manzi ana kipara...
Jambo Jambo?
Kama mnavyofahamu kuwa mimi ukiniwekea CCM na Andazi unachagua nini, ni dhahiri kuwa nitachagua Andazi ila siku zote kama serekali isiyojitambua ikafanya jambo la maana basi yapasa kuwapa maua yao.
Hii Makala ya Historia ya Ikulu Tangu Nyerer mpaka awamu hii kwa mahojiano na wake...
Jambo Jambo?
Kwa habari za chinichini zilizonifikia kutoka chanzo muhimu ninacho kiamini ni hizi hapa.
——————————————————————-
Unaambiwa ATCL Yafikiria kuondoa ndege zake ndogo kama bombadier na zingine katika route ya Dar-Bukoba,Bukoba-Dar kwasababu wateja/abiria wanaoenda huko kuwa wengi...
Jambo Jambo?
Kwa wanaume kama wewe ni mfuatiliaji au ulishawahi kumpeleka mke/mchumba hospital wakati ni mjamzito na anakaribia kujifungua nadhani mmekwisha kushuhudia hii,Kama hujawahi kushuhudia leo ngoja nkujuze yafuatayo.
Kama mwanamke amebeba mimba yake ya kwanza, wakat wa kujifungua ni...
Jambo Jambo?
Yani unakuta mwanaume ana akili timamu na anajisifia kuwa mwanaume shababi, ila kunapotokea safar ya kwenda kusalimia ukweni (upande wa wazazi wa mwanamke), analala hukohuko.
Embu sikia, Haijalishi wana nyumba kubwa au ndogo kiasi gani, Haileti heshima hata kidgo.
Hapo ni muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.