Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,165
- 5,551
Jambo Jambo?
Kwa wanaume kama wewe ni mfuatiliaji au ulishawahi kumpeleka mke/mchumba hospital wakati ni mjamzito na anakaribia kujifungua nadhani mmekwisha kushuhudia hii,Kama hujawahi kushuhudia leo ngoja nkujuze yafuatayo.
Kama mwanamke amebeba mimba yake ya kwanza, wakat wa kujifungua ni lazima njia ifunguke walau sentimita 8 au 9 na si chini ya hapo, Na kama mwanamke ameshawahi kubeba mimba awali na hiyo ni mimba ya pili ya tatu au kuendelea ni Njia ikifunguka hata chini ya sentimita 8 au zikawa 7 anaruhusiwa kujifungua kwasababu nyonga imekwisha panuka.
ILA UPIMAJI WA NJIA YA UZAZI SIYO NZURI KWA KWELI KWA MAANA WAUUGUZI NA MADOKTA HUSONTEKA MIDOLE KWENYE NYETI ZA MKE/MCHUMBA WAKO MARA KWA MARA NA KWA MIDA TOFAUTI TOFAUTI MPKA WAPATE SENTIMITA HIZO.
Unampeleka mke wako hospital, unakutana na vijana wadogo walioko field tena wakiume umri kuanzia 20 na 22 wamekaa labor room, wanakupokea we na mke wako na kumlaza mke wako, wewe ukiwa pembeni, kijana huyo anampima mapigo ya moyo ya mtoto tumboni kisha anavaa gloves na kumwambia mke wako
“MAMA VUA NGUO YA NDANI HALAFU PANUA MIGUU NIINGIZE VIDOLE NIPIME NJIA”
mke wako kwa kuchanganyikiwa na uchungu na akijali hali ya mtoto anafanya hivyo kijana anashuhudia nyeti za mke wako na anasonteka vidole mbele yako huku unashuhudia anatoa vidole na utelezi wa ndani, huku akifurahia hilo zoezi na kama haijafunguka atakuja mwingine tena na huyu mwingine unakuta ana viganja na midole mikubwa na kumwambia mke wako
“PANUA NIONE KAMA IMEFUNGUKA TENA”
anavaa gloves anasonteka vidole kisha anatoa hivyo hvyo mpka njia ifunguke yote
Na kama njia pengine ina sentimita 4 au 3 ataambiwa afanye mazoezi ya kutembea korido za labor, atakuwa anaingiziwa vidole kwa masaa kadhaa au siku kadhaa mpak waone njia imekuwa kubwa na mtoto anaweza akapita.
Nakumbuka wakati nampeleka wife, niligoma mke wangu kupimwa na vijana wadogo kama wale ambao nilivyofika tu wakawa wanagombania ile nafasi ya kutaka kufanya ujinga ule.
Nilimuita dokta mkuu( sista) na kumwambia mke wangu afanye upasuaji kwasababu wakati wa kujifungua kawaida kuna complications nyingi. wakakubali akafanyiwa upasuaji, na ataendelea na huo utaratibu mpka mtoto wa 4.
WANASEMA MFICHA UCHI HAZAI. Na nakubaliana na hilo kuwa hospital uchi si mali.
Lakini kule labor kuweka tuvijana vidogo twa field inakera kiasi.Tena twingine tuna viganja vinene kama TANGAWIZI NARUDIA KAMA TANGAWIZI
N:B hospital niliyoenda ni ya kanisa Wakati wa upimaji njia wanakuruhusu ili wakaushauri kama mke wako ajifungue kawaida au upasuaji kabla ya kupima nilizuia )
(Nimeshusha huu uzi baada ya kusikia wauuguzi wawili wakiwa bar juzi wakipiga soga, Mmoja akawa anasema kuwa siku hiyo ilikuwa nzuri kwa kuwa alikuwa anapata bahati ya kupima (Nyau )zilizolaiini , Shaved na natural )
KAMA UNA ROHO NDOGO BAKI HOME MTUME MAMA MKWE AU MAMA YAKO UKIENDA WEWE UNAWEZA UKARUSHA NGUMI.
nshomile
kwasasa
kahama,Tanzania.
Kwa wanaume kama wewe ni mfuatiliaji au ulishawahi kumpeleka mke/mchumba hospital wakati ni mjamzito na anakaribia kujifungua nadhani mmekwisha kushuhudia hii,Kama hujawahi kushuhudia leo ngoja nkujuze yafuatayo.
Kama mwanamke amebeba mimba yake ya kwanza, wakat wa kujifungua ni lazima njia ifunguke walau sentimita 8 au 9 na si chini ya hapo, Na kama mwanamke ameshawahi kubeba mimba awali na hiyo ni mimba ya pili ya tatu au kuendelea ni Njia ikifunguka hata chini ya sentimita 8 au zikawa 7 anaruhusiwa kujifungua kwasababu nyonga imekwisha panuka.
ILA UPIMAJI WA NJIA YA UZAZI SIYO NZURI KWA KWELI KWA MAANA WAUUGUZI NA MADOKTA HUSONTEKA MIDOLE KWENYE NYETI ZA MKE/MCHUMBA WAKO MARA KWA MARA NA KWA MIDA TOFAUTI TOFAUTI MPKA WAPATE SENTIMITA HIZO.
Unampeleka mke wako hospital, unakutana na vijana wadogo walioko field tena wakiume umri kuanzia 20 na 22 wamekaa labor room, wanakupokea we na mke wako na kumlaza mke wako, wewe ukiwa pembeni, kijana huyo anampima mapigo ya moyo ya mtoto tumboni kisha anavaa gloves na kumwambia mke wako
“MAMA VUA NGUO YA NDANI HALAFU PANUA MIGUU NIINGIZE VIDOLE NIPIME NJIA”
mke wako kwa kuchanganyikiwa na uchungu na akijali hali ya mtoto anafanya hivyo kijana anashuhudia nyeti za mke wako na anasonteka vidole mbele yako huku unashuhudia anatoa vidole na utelezi wa ndani, huku akifurahia hilo zoezi na kama haijafunguka atakuja mwingine tena na huyu mwingine unakuta ana viganja na midole mikubwa na kumwambia mke wako
“PANUA NIONE KAMA IMEFUNGUKA TENA”
anavaa gloves anasonteka vidole kisha anatoa hivyo hvyo mpka njia ifunguke yote
Na kama njia pengine ina sentimita 4 au 3 ataambiwa afanye mazoezi ya kutembea korido za labor, atakuwa anaingiziwa vidole kwa masaa kadhaa au siku kadhaa mpak waone njia imekuwa kubwa na mtoto anaweza akapita.
Nakumbuka wakati nampeleka wife, niligoma mke wangu kupimwa na vijana wadogo kama wale ambao nilivyofika tu wakawa wanagombania ile nafasi ya kutaka kufanya ujinga ule.
Nilimuita dokta mkuu( sista) na kumwambia mke wangu afanye upasuaji kwasababu wakati wa kujifungua kawaida kuna complications nyingi. wakakubali akafanyiwa upasuaji, na ataendelea na huo utaratibu mpka mtoto wa 4.
WANASEMA MFICHA UCHI HAZAI. Na nakubaliana na hilo kuwa hospital uchi si mali.
Lakini kule labor kuweka tuvijana vidogo twa field inakera kiasi.Tena twingine tuna viganja vinene kama TANGAWIZI NARUDIA KAMA TANGAWIZI
N:B hospital niliyoenda ni ya kanisa Wakati wa upimaji njia wanakuruhusu ili wakaushauri kama mke wako ajifungue kawaida au upasuaji kabla ya kupima nilizuia )
(Nimeshusha huu uzi baada ya kusikia wauuguzi wawili wakiwa bar juzi wakipiga soga, Mmoja akawa anasema kuwa siku hiyo ilikuwa nzuri kwa kuwa alikuwa anapata bahati ya kupima (Nyau )zilizolaiini , Shaved na natural )
KAMA UNA ROHO NDOGO BAKI HOME MTUME MAMA MKWE AU MAMA YAKO UKIENDA WEWE UNAWEZA UKARUSHA NGUMI.
nshomile
kwasasa
kahama,Tanzania.