Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,165
- 5,551
Jambo Jambo?
Wote tunafahamu kuwa skubiduu(Scooby-doo) wa katuni yetu pendwa alikuwa na bado anaendelea kuwa kichekesho kwenye luninga na vipindi vya watoto.
Basi na mimi kama shabiki maandazi wa Yanga na kwa kuheshimu mapenzi ya dhati ya uongozi kwa kutusajilia Famba hili nauungana nao kwa kumbatiza jina la SKUBIDUUU.
Wote tunategemea vichekesho kutoka uwanjani leo.
KILA LA HERI TIMU YANGU YA YANGA
-SHABIKI MAANDAZI WA YANGA
Wote tunafahamu kuwa skubiduu(Scooby-doo) wa katuni yetu pendwa alikuwa na bado anaendelea kuwa kichekesho kwenye luninga na vipindi vya watoto.
Basi na mimi kama shabiki maandazi wa Yanga na kwa kuheshimu mapenzi ya dhati ya uongozi kwa kutusajilia Famba hili nauungana nao kwa kumbatiza jina la SKUBIDUUU.
Wote tunategemea vichekesho kutoka uwanjani leo.
KILA LA HERI TIMU YANGU YA YANGA
-SHABIKI MAANDAZI WA YANGA