ATCL yafikiria kupeleka Boeing 787 route ya Dar-Bukoba, Yadai Abiria ni wengi sana

Nshomile wa Muleba

JF-Expert Member
Dec 5, 2015
2,165
5,551
Jambo Jambo?
Kwa habari za chinichini zilizonifikia kutoka chanzo muhimu ninacho kiamini ni hizi hapa.
——————————————————————-

Unaambiwa ATCL Yafikiria kuondoa ndege zake ndogo kama bombadier na zingine katika route ya Dar-Bukoba,Bukoba-Dar kwasababu wateja/abiria wanaoenda huko kuwa wengi hivyo inailazimu Shirika kupiga route za mara kwa mara ili kuhakikisha watanzania wanaosafiri route hiyo kuwa”accomodated”.

Tunafahamu kuwa katika Generation za ndege huwezi ukaacha kutaja ndege aina ya Boeing 787 -8 iliyo ya kisasa zaidi kuliko Boeing 767, Boeing “Tripple 7”. Na ndege hyo ya 787-8 inapiga route za international ili kushindana na makampuni mengi kama KQ na Ethopian Airways.

Lakini licha ya boeing hiyo kupiga international route,ATCL inafikiria na inaamini soon wataweka route ya peke yake ya kutoka Dar-Bukoba na Bukoba-Dar na itakuwa inaruka direct bila kuokoteza mikoa jirani kama Dodoma na Mwanza huku siri ikiwa na abiria wengi kwenda huko.

Imagine Watanzania wanaoenda Bukoba na kurudi wanafikia zaidi ya 200 kwa siku ambapo jumla inakuwa 400 “Go and Return” kwa ndege huku mikoa mingine ikichechemea kwa abiria kiduchu wa Ndege na Lukuki kwa mabasi.

Hii ni kutokana na baadhi ya makabila ya huko bukoba kuwa wavivu kupanda mabasi kwa sababu ya umbali mrefu wa safari, Huku wamiliki wa mabasi kwenda huko wakipunguza mabasi yao kwenda bukoba na Kagera kiujumla na kuyahamishia mikoa mingine ambako kuna wateja wengi zaidi.

Asante sana ATCL kwa kutambua mchango na umuhimu wa kuweka dege kubwa katika route muhimu hii kwa Taifa na ukizingatiaa Huko ndo kunaongoza kuwa baadhi ya makabila yenye utashi na uwezo mkubwa wa kielimu.

(WADENGEREKO WANAKUJA NA MATUSI)

IMG_5829.jpg


WAALEEE TWARUKAAAAAAAA!!!!!


Nshomile
Kwasasa
Kagera,Tanzania
 
Kwa ule uwanja ulivyo, rubani atakuwa anatua huku ameuma meno, na sidhani kama hiyo ndege itapewa ruhusa ya kutua Bukoba, uwanja ni mdogo sana.

Kila ndege Ina runway ambayo inaruhusiwa kutua
 
Ikiwa ni kweli, ATCL watakuwa wamefikia kilele cha ulambaji asali!
 
Kwa ule uwanja ulivyo, rubani atakuwa anatua huku ameuma meno, na sidhani kama hiyo ndege itapewa ruhusa ya kutua Bukoba, uwanja ni mdogo sana.

Kila ndege Ina runway ambayo inaruhusiwa kutua

unajua uwanja una kilomita ngapi za runway?
 
Jambo Jambo?
Kwa habari za chinichini zilizonifikia kutoka chanzo muhimu ninacho kiamini ni hizi hapa.
——————————————————————-

Unaambiwa ATCL Yafikiria kuondoa ndege zake ndogo kama bombadier na zingine katika route ya Dar-Bukoba,Bukoba-Dar kwasababu wateja/abiria wanaoenda huko kuwa wengi hivyo inailazimu Shirika kupiga route za mara kwa mara ili kuhakikisha watanzania wanaosafiri route hiyo kuwa”accomodated”.

Tunafahamu kuwa katika Generation za ndege huwezi ukaacha kutaja ndege aina ya Boeing 787 -8 iliyo ya kisasa zaidi kuliko Boeing 767, Boeing “Tripple 7”. Na ndege hyo ya 787-8 inapiga route za international ili kushindana na makampuni mengi kama KQ na Ethopian Airways.

Lakini licha ya boeing hiyo kupiga international route,ATCL inafikiria na inaamini soon wataweka route ya peke yake ya kutoka Dar-Bukoba na Bukoba-Dar na itakuwa inaruka direct bila kuokoteza mikoa jirani kama Dodoma na Mwanza huku siri ikiwa na abiria wengi kwenda huko.

Imagine Watanzania wanaoenda Bukoba na kurudi wanafikia zaidi ya 200 kwa siku ambapo jumla inakuwa 400 “Go and Return” kwa ndege huku mikoa mingine ikichechemea kwa abiria kiduchu wa Ndege na Lukuki kwa mabasi.

Hii ni kutokana na baadhi ya makabila ya huko bukoba kuwa wavivu kupanda mabasi kwa sababu ya umbali mrefu wa safari, Huku wamiliki wa mabasi kwenda huko wakipunguza mabasi yao kwenda bukoba na Kagera kiujumla na kuyahamishia mikoa mingine ambako kuna wateja wengi zaidi.

Asante sana ATCL kwa kutambua mchango na umuhimu wa kuweka dege kubwa katika route muhimu hii kwa Taifa na ukizingatiaa Huko ndo kunaongoza kuwa baadhi ya makabila yenye utashi na uwezo mkubwa wa kielimu.

(WADENGEREKO WANAKUJA NA MATUSI)

View attachment 2616359

WAALEEE TWARUKAAAAAAAA!!!!!


Nshomile
Kwasasa
Kagera,Tanzania
Hahaha...
1683701673279.png
 
Jambo Jambo?
Kwa habari za chinichini zilizonifikia kutoka chanzo muhimu ninacho kiamini ni hizi hapa.
——————————————————————-

Unaambiwa ATCL Yafikiria kuondoa ndege zake ndogo kama bombadier na zingine katika route ya Dar-Bukoba,Bukoba-Dar kwasababu wateja/abiria wanaoenda huko kuwa wengi hivyo inailazimu Shirika kupiga route za mara kwa mara ili kuhakikisha watanzania wanaosafiri route hiyo kuwa”accomodated”.

Tunafahamu kuwa katika Generation za ndege huwezi ukaacha kutaja ndege aina ya Boeing 787 -8 iliyo ya kisasa zaidi kuliko Boeing 767, Boeing “Tripple 7”. Na ndege hyo ya 787-8 inapiga route za international ili kushindana na makampuni mengi kama KQ na Ethopian Airways.

Lakini licha ya boeing hiyo kupiga international route,ATCL inafikiria na inaamini soon wataweka route ya peke yake ya kutoka Dar-Bukoba na Bukoba-Dar na itakuwa inaruka direct bila kuokoteza mikoa jirani kama Dodoma na Mwanza huku siri ikiwa na abiria wengi kwenda huko.

Imagine Watanzania wanaoenda Bukoba na kurudi wanafikia zaidi ya 200 kwa siku ambapo jumla inakuwa 400 “Go and Return” kwa ndege huku mikoa mingine ikichechemea kwa abiria kiduchu wa Ndege na Lukuki kwa mabasi.

Hii ni kutokana na baadhi ya makabila ya huko bukoba kuwa wavivu kupanda mabasi kwa sababu ya umbali mrefu wa safari, Huku wamiliki wa mabasi kwenda huko wakipunguza mabasi yao kwenda bukoba na Kagera kiujumla na kuyahamishia mikoa mingine ambako kuna wateja wengi zaidi.

Asante sana ATCL kwa kutambua mchango na umuhimu wa kuweka dege kubwa katika route muhimu hii kwa Taifa na ukizingatiaa Huko ndo kunaongoza kuwa baadhi ya makabila yenye utashi na uwezo mkubwa wa kielimu.

(WADENGEREKO WANAKUJA NA MATUSI)

View attachment 2616359

WAALEEE TWARUKAAAAAAAA!!!!!


Nshomile
Kwasasa
Kagera,Tanzania
hivi we kwanini ni mpumbavu hivyo? Ni tahira au unaakili timamu. Namlaumu mamako kwanini hakuvaa condom siku ya kutiwa mimba yako. Sijawahi ona binadamu mpumbavu ktk JF km wewe.
 
Jambo Jambo?
Kwa habari za chinichini zilizonifikia kutoka chanzo muhimu ninacho kiamini ni hizi hapa.
——————————————————————-

Unaambiwa ATCL Yafikiria kuondoa ndege zake ndogo kama bombadier na zingine katika route ya Dar-Bukoba,Bukoba-Dar kwasababu wateja/abiria wanaoenda huko kuwa wengi hivyo inailazimu Shirika kupiga route za mara kwa mara ili kuhakikisha watanzania wanaosafiri route hiyo kuwa”accomodated”.

Tunafahamu kuwa katika Generation za ndege huwezi ukaacha kutaja ndege aina ya Boeing 787 -8 iliyo ya kisasa zaidi kuliko Boeing 767, Boeing “Tripple 7”. Na ndege hyo ya 787-8 inapiga route za international ili kushindana na makampuni mengi kama KQ na Ethopian Airways.

Lakini licha ya boeing hiyo kupiga international route,ATCL inafikiria na inaamini soon wataweka route ya peke yake ya kutoka Dar-Bukoba na Bukoba-Dar na itakuwa inaruka direct bila kuokoteza mikoa jirani kama Dodoma na Mwanza huku siri ikiwa na abiria wengi kwenda huko.

Imagine Watanzania wanaoenda Bukoba na kurudi wanafikia zaidi ya 200 kwa siku ambapo jumla inakuwa 400 “Go and Return” kwa ndege huku mikoa mingine ikichechemea kwa abiria kiduchu wa Ndege na Lukuki kwa mabasi.

Hii ni kutokana na baadhi ya makabila ya huko bukoba kuwa wavivu kupanda mabasi kwa sababu ya umbali mrefu wa safari, Huku wamiliki wa mabasi kwenda huko wakipunguza mabasi yao kwenda bukoba na Kagera kiujumla na kuyahamishia mikoa mingine ambako kuna wateja wengi zaidi.

Asante sana ATCL kwa kutambua mchango na umuhimu wa kuweka dege kubwa katika route muhimu hii kwa Taifa na ukizingatiaa Huko ndo kunaongoza kuwa baadhi ya makabila yenye utashi na uwezo mkubwa wa kielimu.

(WADENGEREKO WANAKUJA NA MATUSI)

View attachment 2616359

WAALEEE TWARUKAAAAAAAA!!!!!


Nshomile
Kwasasa
Kagera,Tanzania
Kwenda zako wewe toa majivuno yenu ya ushomile. Mkoa wenyewe wa mwisho kimaendeleo siku hizi.
 
Jambo Jambo?
Kwa habari za chinichini zilizonifikia kutoka chanzo muhimu ninacho kiamini ni hizi hapa.
——————————————————————-

Unaambiwa ATCL Yafikiria kuondoa ndege zake ndogo kama bombadier na zingine katika route ya Dar-Bukoba,Bukoba-Dar kwasababu wateja/abiria wanaoenda huko kuwa wengi hivyo inailazimu Shirika kupiga route za mara kwa mara ili kuhakikisha watanzania wanaosafiri route hiyo kuwa”accomodated”.

Tunafahamu kuwa katika Generation za ndege huwezi ukaacha kutaja ndege aina ya Boeing 787 -8 iliyo ya kisasa zaidi kuliko Boeing 767, Boeing “Tripple 7”. Na ndege hyo ya 787-8 inapiga route za international ili kushindana na makampuni mengi kama KQ na Ethopian Airways.

Lakini licha ya boeing hiyo kupiga international route,ATCL inafikiria na inaamini soon wataweka route ya peke yake ya kutoka Dar-Bukoba na Bukoba-Dar na itakuwa inaruka direct bila kuokoteza mikoa jirani kama Dodoma na Mwanza huku siri ikiwa na abiria wengi kwenda huko.

Imagine Watanzania wanaoenda Bukoba na kurudi wanafikia zaidi ya 200 kwa siku ambapo jumla inakuwa 400 “Go and Return” kwa ndege huku mikoa mingine ikichechemea kwa abiria kiduchu wa Ndege na Lukuki kwa mabasi.

Hii ni kutokana na baadhi ya makabila ya huko bukoba kuwa wavivu kupanda mabasi kwa sababu ya umbali mrefu wa safari, Huku wamiliki wa mabasi kwenda huko wakipunguza mabasi yao kwenda bukoba na Kagera kiujumla na kuyahamishia mikoa mingine ambako kuna wateja wengi zaidi.

Asante sana ATCL kwa kutambua mchango na umuhimu wa kuweka dege kubwa katika route muhimu hii kwa Taifa na ukizingatiaa Huko ndo kunaongoza kuwa baadhi ya makabila yenye utashi na uwezo mkubwa wa kielimu.

(WADENGEREKO WANAKUJA NA MATUSI)

View attachment 2616359

WAALEEE TWARUKAAAAAAAA!!!!!


Nshomile
Kwasasa
Kagera,Tanzania
bukoba hakuna uwanja wa kutua hiyo ndege ila nakubaliana naye kuwa bukoba kuna abiria wengi au ni ruti zenye abiria wengi.kama kutajengwa uwanja mpya hiyo itawezekana lkn uliopo hata kupanuliwa hauwezekani sababu taya umezongwa na wananchi labda wahamishe kashai nzima na pale miembeni na hospitali ya St Thereza pia iondolewe.
 
hivi we kwanini ni mpumbavu hivyo? Ni tahira au unaakili timamu. Namlaumu mamako kwanini hakuvaa condom siku ya kutiwa mimba yako. Sijawahi ona binadamu mpumbavu ktk JF km wewe.

Wakati unaongea hayo, Ulifikiria kama baba ako angechepusha mbegu na kumwaga nje ungekuwep0?

Uzi niandike mimi ww uje uweweseke matta. col kisa nini?


Aya yabane vizuri hayo matta.col kabla sijaya”spike” na kibao cha mahaba

pumbavu
 
bukoba hakuna uwanja wa kutua hiyo ndege ila nakubaliana naye kuwa bukoba kuna abiria wengi au ni ruti zenye abiria wengi.kama kutajengwa uwanja mpya hiyo itawezekana lkn uliopo hata kupanuliwa hauwezekani sababu taya umezongwa na wananchi labda wahamishe kashai nzima na pale miembeni na hospitali ya St Thereza pia iondolewe.

Wewe umejibu hoja vzr na siyo hao wajinga wanaovamia uzi na mihemko

Wengi hawajawahi kupanda ndege hawajui route ya Dar-Mwanza-Bukoba ndo route yenye uhai kuliko zote Tanzania

Sasa mtu hajui hata mlango wa ndege analeta mihemko ya kijinga hapa.
 
Wew jamaa utakuww sio muhaya...unafanya makusudi ili wahaya watukanwe kila uchwao..

Nchi watu wengi ni wajinga...mambo ya ethnicity, tribes nk hayapaswi kujadiliwa kabisa...
Maana wajinga wengi huishia kudhalilisha kabila na kutusi
 
Jambo Jambo?
Kwa habari za chinichini zilizonifikia kutoka chanzo muhimu ninacho kiamini ni hizi hapa.
——————————————————————-

Unaambiwa ATCL Yafikiria kuondoa ndege zake ndogo kama bombadier na zingine katika route ya Dar-Bukoba,Bukoba-Dar kwasababu wateja/abiria wanaoenda huko kuwa wengi hivyo inailazimu Shirika kupiga route za mara kwa mara ili kuhakikisha watanzania wanaosafiri route hiyo kuwa”accomodated”.

Tunafahamu kuwa katika Generation za ndege huwezi ukaacha kutaja ndege aina ya Boeing 787 -8 iliyo ya kisasa zaidi kuliko Boeing 767, Boeing “Tripple 7”. Na ndege hyo ya 787-8 inapiga route za international ili kushindana na makampuni mengi kama KQ na Ethopian Airways.

Lakini licha ya boeing hiyo kupiga international route,ATCL inafikiria na inaamini soon wataweka route ya peke yake ya kutoka Dar-Bukoba na Bukoba-Dar na itakuwa inaruka direct bila kuokoteza mikoa jirani kama Dodoma na Mwanza huku siri ikiwa na abiria wengi kwenda huko.

Imagine Watanzania wanaoenda Bukoba na kurudi wanafikia zaidi ya 200 kwa siku ambapo jumla inakuwa 400 “Go and Return” kwa ndege huku mikoa mingine ikichechemea kwa abiria kiduchu wa Ndege na Lukuki kwa mabasi.

Hii ni kutokana na baadhi ya makabila ya huko bukoba kuwa wavivu kupanda mabasi kwa sababu ya umbali mrefu wa safari, Huku wamiliki wa mabasi kwenda huko wakipunguza mabasi yao kwenda bukoba na Kagera kiujumla na kuyahamishia mikoa mingine ambako kuna wateja wengi zaidi.

Asante sana ATCL kwa kutambua mchango na umuhimu wa kuweka dege kubwa katika route muhimu hii kwa Taifa na ukizingatiaa Huko ndo kunaongoza kuwa baadhi ya makabila yenye utashi na uwezo mkubwa wa kielimu.

(WADENGEREKO WANAKUJA NA MATUSI)

View attachment 2616359

WAALEEE TWARUKAAAAAAAA!!!!!


Nshomile
Kwasasa
Kagera,Tanzania
Itapitia Chato au hapana
 
Back
Top Bottom