Mh Rais pole na kazi nyingi ofisini.Naandika hapa nikiwa na masikitiko makubwa sana na sikutaka kufanya hivi kwani niliamini ofisi ya tanesco kigamboni ilikuwa bado ina uwezo wa kutusaidia sisi wananchi wa kisarawe 2.
Lakini kwa urasimu uliopo na majibu yao yanayoshawishi mazingira ya rushwa...
MIFUKO ya Hifadhi ya Jamii nchini inaongoza kwa kudhulumu wafanyakazi kutokana na kutofanya mrejesho wa faida inayotokana na vitega uchumi vyao. Wafanyakazi wamekuwa wakichangia fedha nyingi kwenye mifuko hiyo na fedha hizo ndizo zinazotumika kuanzisha vitega uchumi kama vile majengo makubwa...
Hii tatizo la mabinti, madada au wa mama wa Tanzania kuwa tengemezi sana kwa kila kitu hata kama anafanya kazi tofauti na wanawake nchi za afrika mashariki na barani afrika kwa ujumla wake. Katika hali iliyo ya mazoezi kwa asilimia 99.9 kwa wanawake wa kibongo kutokuwa tayari kuchangia bill ya...
Wakuu hivi yule mwandishi mashuhuri wa pass za kusafiria za miaka ile ya nyuma kabla ya hii technolojia ya kuandikia computer haijafungwa pale uhamiaji yuko wapi??
Nilikuwa napitia passport za wazee wangu hapa hizi hati zinavyofanana hadi nukta??
Nimekutana na huyu muheshimiwa mstaafu katibu mkuu wa ccm hapa iringa dukani ananunua mbolea ya kupandia wakati msimu wa kupanda bado. Jamani mzee kachoka vile na zile ndevu ni hatari....
Mwaka 2009 PPF HQ walitoa fedha kiasi cha shilingi milioni 200 kuwalipa Mtibwa sugar kwa lengo la kuwalipa staff au vibarua wa mtibwa sugar, lakini kutoka na mahusiano mabaya kati ya Management ya Mtibwa Sugar na hao Vibarua, Utawala wa Mtibwa Morogoro ukaomba msaada kutoka PPF Morogoro chini ya...
Hazina yaani Wizara ya Fedha hivi karibuni au awamu ya pili ya JK imekuwa na chini ya uongozi wa waziri wa fedha Mkullo amekuwa anapatikana na kashifa nyingi sana na sasa amehamia kwa watumishi ambao ni wachapa kazi na kuwa victimize kutokana na misimamo yao.
Mfano Mr. Kamugisha ex-CPAD...
Tanzania kweli ni nchi ambayo huwa inakulupuka katika maamuzi amba asili na msingi wake mkubwa ni ulaji tu.
Historia inaonyesha RITA ilianzishwa chini ya Wizara ya Sheria na Katiba na baadae kuwa Agency na punde ilipokuwa agency lobbyist Dickson Maimu akawa CEO wa shirika mara aliposikia kuwa...
Zambia President Michael Sata is sworn in
BACKGROUND: FINANCE BANK OF ZAMBIA
Finance Bank Zambia Limited (FBZ), commonly referred to as Finance Bank, is a commercial bank in Zambia. It is one of the 18 licensed commercial banks in the country, as of October 2010. The bank has a subsidiary...
Jamani wana jamii naomba kuwasilisha tena kwamba hapa kwetu mbeya city hakuna matangazo ya clouds fm na radio one kwa muda sana sasa , na hakuna sababu yoyote ile mpaka leo na unajua inasumbua akili mkoa una maendeleo kuna radio za kijinga tu hapa mjini wanaiga idea za watangazaji wengine sasa...
Jana mahakama ya ilala imewadaka wadhamini kanjanja wanaotega maeneo ya mahakama na barua za serikali za mitaa ili kuwadhamini watuhumiwa wasio na ndugu kwa ujira wa tsh 20,000, na baadae hukimbia... Wadau hii imekaaje??
Je jamaa wanafanya biashara au, maana Mbeya hamna FM ya maana na zote zinaongea ujinga ujinga tu. Bora clouds kidogo ilikuwa inabadilisha mazingira.
Ukimuuliza kila mwenyeji wa hapa wanasema n habari za siasa kaka, je tutafka kama kila kitu ni siasa jamani? Naombeni majibu wadau au kama kuna...
Mh. Membe ametoa karipio kali sana kuwa Libya bado haiwaitambui Serikali ya Rebel (NTC) na hata ameweza kuita Balozi wa Libya baada ya kuweka Bendera ya nchi ya Rebel kuwa wamekuika taratibu za nchi za diplomasia.
Je nchi yetu tunaonekana vipi kama wawekezaji waki-somali mfano Paradise hotels...
Tanzania inazidi kupoteza mwelekeo katika ngazi ya Uongozi wa Juu wazo limekuja baada ya kufanya tathmini ya muda mrefu. Mikataba mingi ya mashirika mengi haina kikomo cha mwisho kwa wakurugenzi wake. Mfano mikataba inaanzia miaka 3 - 5 na sheria inasema mkurugenzi atakaa madaraka siyo zaidi ya...
I am very glad to inform the JF members and I am just new I have joined JF to bring real changes to our communities and help our govt on what we call good governance is all about leaders to be clean and not hypocrites.
Regards,
Ras:target:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.