pambano linaanza saa ngapi wakuu na uwanja upi. Nataka nitinge huko sina issue ya kufanya leo.......asanten
Shine tupe upadates mkuu, saa kumi ndio hiyooo imewadia. Vipi afande sele keshapanda kumwaga mistari?? am told fransis cheka kaja na mabus ya washangiliaji toka moro. Mada nae kuna bonge la vijana toka maeneo ya ukonga,banana
Mkanda wanaoupambania ndo umepitishwa jukwaani kuonyeshwa
IBF bongo...hebu tuache utani!!!!