Shamba lenye ukubwa wa aka 14 ... 7km form moshi town .... 3km from moshi dar road along Pumwani suburb .... mkonga ward ..... flat land ... very fertile for maize sunflower cultivation and kilimo kwanza ... water table is around 35-30 meters deep ... maji ya bomba yapo 400 meters away from...
Rejea Kichwa cha topic hii : I need an investment consultant
Industry: Real estate
Type of Project: Development of Serviced Apartments or 'Apart Hotel'
Location of the project : Arusha city center
Job descriptions/ Terms of References: Project Appraisal, Preparation of Business Plan...
Jf
katika generation au zama hizi biashara nyingi sana zinafanyika kwa njia ya mtandao na hujulikana kama online business/e-commerce
kuna shopping carts, shopping baskests, online orders na nyenzo nyingi kupitia mitandao mingi duniani,
in reality na kwa experience iliyokukuta wewe je...
i wish the US$ to trade as low as 1450 against TZS and let our tax policies to be reviewed in favour of promoting business community to trade more and pay respective lucrative taxes
pia nina wish mabenki na taasisi za kifedha zitengeneze mazingira mazuri ya ukopeshaji kwa kutoa masharti...
Katika kipindi hiki cha sikuku za xmass na mwaka mpya nimepata hamu kubwa sana ya kula nyama ya wanyama wa porini kama pofu, swala, ngiri, twiga, nyati, kongoni, ndezi, mamba, mbuni n.k
anayefahamu wapi nyama hizi zinapatikana either iliyotayarishwa au mbichi atujuze
i wish you a...
The U.S. Federal Reserve, acting with five other central banks, took steps Wednesday to boost the troubled global financial system by making it cheaper for banks to trade in U.S. dollars.
The Fed --along with central banks of the eurozone, England, Japan, Switzerland and Canada --announced a...
mwenye msaada wa kujua kinachosababisha nyongo kuwa nyingi na dawa ya kupunguza nyongo mwilini
huwa inatokea kuitapika asubuhi na hutoka nyingi sana
natanguliza shukrani
wataalam
mimi inbox ya e-mail yangu inashambuliwa sana kwa kuingia mails za kichina nyingi , yapata hata mail 60 kwa siku
naomba ushauri nifanyeje kuzuia hii hali
asanteni
mfano wa hizo mails ni hapa chini
≪二階堂...
Wana JF
Nimekua nikipitia jukwaa hili la businesss and economy na kukutana na mawazo mazuri sana ya biashara kutoka kwa members wengi
Naomba nitoe wazo la kuanzishwa kwa mashindano ya mawazo mazuri ya biashara kwa members wa JF
Mashindano haya yanaweza kuratibiwa kwa ushirikiano na...
Wakuu ili tuweze kuwa makini na aina za biashara pale tunapotaka kuwekeza na kufanya biashara ninaomba angalau tujuzane biashara gani ni pasua kichwa (biashara kichaa) yaani katika makundi haya: hutumia muda mwingi, usumbufu mkubwa, risk kubwa na pia faida hupatikana kidogo .... hii ni katika...
wana jf
naomba msaada kwani nikiwa na type inatoke namba 3 na kujityp3e yenyewe mara nyingi bila kusimama ... mp3aka nitumie backsp3ace ndio inarudi lakini hujirudia tena ..... ninapo press no.3 button haitoi kitu na ninapo bonyeza no. 1 button number moja huandika na kufuatiwa na number...
Heshima kwanza,
Wakuu, nina shamba eneo la Makaa Yamu, Kirua Vunjo, wilaya ya Moshi vijijini lenye ukubwa wa ekari kumi na sita 16 (limepimwa na hati miliki)
Shamba lipo kilometer nne kutoka barabara kuu iendayo Dar es salaam na Mombasa.Shamba hili lipo eneo la ukanda wa tambarare Kusini...
Waziri mkuu Mh. Mizengo Pinda anatoa taarifa bungeni kuhusu milipuko ya mabomu Gongo la Mboto
Azungumzia takriba watu 19 wafariki
Raisi kukutana na baraza la usalama la taifa
Bunge laahirishwa ..sababu ya hofu kubwa kwa wabunge
Wana JF ambao wapo katika sector hii ya mbao , magogo, nguzo za miti, bidhaa za mbao kama furniture na vyote vinavyoendena na bidhaa misitu
Hii ni fursa itakayoshindanisha michanganuo ya biashara (Business Plan Competition) na baadae fursa mbali mbali zitapatikana kama vile finance for...
Tanzania Breweries Limited (TBL) wametangaza kwamba kuanzia tarehe 14 february 2011 bei za bia wanazotengeneza itapanda.... wakielezea sababu mbali mbali nyingi zikiwa ni kupanda kwa gharama za uzalishaji....
Brands za TBL ni pamoja na Safari Lager, Kilimanjaro Lager, Castle Lager, Castle...
Nchi yetu ya Tanzania bado ina adhabu ya kifo ..
Je nchi yetu na wananchi tunajua ukweli wowote juu ya ndugu zetu waliokosa na badala ya kuwarekebisha ili warudi kundini lakini tukatumia sheria zisizofaa na kuwahukumu kwa kuondoa maisha yao hapa hapa duniani...? wangapi wameshanyongwa hapa...
kwa mtazamo wangu ninaona hapa kuna repitition ya maneno...kama vile inavyotokea mtu kusema barabara ya mandela road
tumeona mabenki mengi yakiandika kwenye official docs na mabango yao kama vile
CRDB Bank...Cooperative and Rural Development Bank Bank
ACB Bank...........Akiba Commercial Bank...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.