Wakuu ili tuweze kuwa makini na aina za biashara pale tunapotaka kuwekeza na kufanya biashara ninaomba angalau tujuzane biashara gani ni pasua kichwa (biashara kichaa) yaani katika makundi haya: hutumia muda mwingi, usumbufu mkubwa, risk kubwa na pia faida hupatikana kidogo .... hii ni katika level ya ujasiriamali .... assuming that unaifanya kwa ufanisi wote na discipline ya biashara
hapa tunaweza kupata na ufumbuzi wa mojawapo ya biashara pasua kichwa
na nyinginezo nyingi twaweza endelea kuzitaja na kuelezea
hakuna anayetaka kupasua kichwa kwa kufanya bishara kichaa ..... i stand to be corrected
hapa tunaweza kupata na ufumbuzi wa mojawapo ya biashara pasua kichwa
- yaweza kuwa biashara ya kuleta magari toka nje yasiyo na brand za kijapani .... kama vile volkswagon, hammer, Peugeot, Renault, BMW, range rover n.k ?
- Biashara ya kuleta mkaa kama agent wa wachoma mikaa na kuwauzia retailers ?
- biashara ya maji ya kunywa retail ?
- biashara ya kuuza vocha za simu ?
- biashara ya daladala ?
- biashara ya bodaboda ?
- biashara ya taxi ?
- gutter politics (siasa uchwara) ...?
- biashara ya udalali kishoka
na nyinginezo nyingi twaweza endelea kuzitaja na kuelezea
hakuna anayetaka kupasua kichwa kwa kufanya bishara kichaa ..... i stand to be corrected