Je ni sahihi kuita CRDB Bank....ACB Bank...?

LAT

JF-Expert Member
Nov 20, 2010
4,401
1,312
kwa mtazamo wangu ninaona hapa kuna repitition ya maneno...kama vile inavyotokea mtu kusema barabara ya mandela road

tumeona mabenki mengi yakiandika kwenye official docs na mabango yao kama vile

CRDB Bank...Cooperative and Rural Development Bank Bank
ACB Bank...........Akiba Commercial Bank Bank
BOA Bank ........ Bank of Africa Bank

haya mabank yaliyo sahihi ni kama Standard Charted Bank..... Barclays Bank... Exim Bank..... Mkombozi Commercial Bank

nadhani udhaifu huu upo kwenye kutumia vifupisho vya maneno...mimi nahisi sio sahihi
 
Kwa sasa CRDB imesajiliwa na kutambulika hivyo CRDB Bank Plc.

Hizo zingine ni makosa kuongeza neno Bank ......iwe KCB na sio KCB Bank
 
Kwa sasa CRDB imesajiliwa na kutambulika hivyo CRDB Bank Plc.

Hizo zingine ni makosa kuongeza neno Bank ......iwe KCB na sio KCB Bank

mkuu...hapa nazungumzia maana ya jina na si uhalali wa kiusajili...kwani wao BRELA hawaangalii maana ya jina ipo sahihi au ...lakini ukweli unabaki kwamba CRDB Bank inaendelea kurudia rudia maneno
 
Ndg yangu kwa taarifa tu,CRDB haikuitwa CRDB bank kimakosa kama ambavyo baadhi ya wachangiaji wanavyofikiri bali jina hilo lilikuja baada ya CRDB ile ya wakulima kubinafsishwa.
Ilipo binafsishwa ilibadili mwwelekeo kutoka Cooperative Rural Development Bank {kwa maana yake halisi ya Benk ya maandeleo Vijijini} na kuwa benki ya wafanyabiashara tena wakubwa ambao kimsingi huwezi kuwakuta vijijini.
Hivyo kuendelea kutumia 'CRDB' haingekuwa na maana na vilevile kutumia neno lingine lingekuwa na athari kubwa kibiashara kwa walio inunua. Ndio maana wakaamua kuita 'CRDB bank' na kwa sasa CRDB inayotumika sasa haina maana yoyote zaidi ya kutumika kama jina tu yaani huwezi kutoa kirefu cha CRDB Bank ya sasa kwa maana ile iliyokuwa inatumika zamani na huenda hakuna kirefu chochote cha neno hilo bali ni jina tu kama 'Athuman au John'
 
Ndg yangu kwa taarifa tu,CRDB haikuitwa CRDB bank kimakosa kama ambavyo baadhi ya wachangiaji wanavyofikiri bali jina hilo lilikuja baada ya CRDB ile ya wakulima kubinafsishwa.
Ilipo binafsishwa ilibadili mwwelekeo kutoka Cooperative Rural Development Bank {kwa maana yake halisi ya Benk ya maandeleo Vijijini} na kuwa benki ya wafanyabiashara tena wakubwa ambao kimsingi huwezi kuwakuta vijijini.
Hivyo kuendelea kutumia 'CRDB' haingekuwa na maana na vilevile kutumia neno lingine lingekuwa na athari kubwa kibiashara kwa walio inunua. Ndio maana wakaamua kuita 'CRDB bank' na kwa sasa CRDB inayotumika sasa haina maana yoyote zaidi ya kutumika kama jina tu yaani huwezi kutoa kirefu cha CRDB Bank ya sasa kwa maana ile iliyokuwa inatumika zamani na huenda hakuna kirefu chochote cha neno hilo bali ni jina tu kama 'Athuman au John'

mkuu...hatusemi ni imeandikwa kimakosa.... tunachosisitiza ni repitition ya maneno... na kwa taarifa yako...haya ni makosa ya mwanzo yaliyofanyika wakati wa kuanzisha bank bila kuangalia jina lililo fupi na kuleta maana ile ile..... hii ni kutoshirikisha sector ya wataalamu wa branding au brand name developers....majina kama ali au john yote yapo kwenye kamusi na yana maana yake...hata majina ya kiasilia yana maana yake.... jee maana ya CRDB kama jina ni nini.....? na hawa ACB Bank ..... na hao KCB Bank.....

ndugu yangu lazima tukubali udhaifu huu.... kwani walio tunga majina kama standard bank au Trust bank....au Eco Bank waliangalia mbali kwani jina la bank linatakiwa liwe fupi kulitamka
 
Usiwe mbishi wa kuelewa. Umeelezwa kwamba crdb si ile uliyokuwa unaifahamu kama cooperative and rural development bank. Hii ya sasa haina kirefu chochote. Kama walichangia wenzangu, crdb bank lilisajiliwa kama jina na biashara kama majina mengine. Sasa ukisema eti brela wanatakiwa kuuliza maana ya kila jina la kampuni utakuwa unakosea. Wao wanaposajiri cha kwanza ni kuangalia kama hakuna biashara yoyote yenye jina kama hilo. Walifanya hivyo kwani iliyokuwepo ilikuwa inaitwa crdb na sio crdb bank.kama kuna wengine wanaokosea sawa lakini kwa crdb bank ni sahihi. Kwani jina kama john lina kirefu chake? Aaaah bana usituchote akili!
 
naendelea kujifunza mambo asa hili la barabara ya mandela road ujue tunatamka kla cku bila kuangalia upande wa2
 
mkuu...hatusemi ni imeandikwa kimakosa.... tunachosisitiza ni repitition ya maneno... na kwa taarifa yako...haya ni makosa ya mwanzo yaliyofanyika wakati wa kuanzisha bank bila kuangalia jina lililo fupi na kuleta maana ile ile..... hii ni kutoshirikisha sector ya wataalamu wa branding au brand name developers....majina kama ali au john yote yapo kwenye kamusi na yana maana yake...hata majina ya kiasilia yana maana yake.... jee maana ya CRDB kama jina ni nini.....? na hawa ACB Bank ..... na hao KCB Bank.....

ndugu yangu lazima tukubali udhaifu huu.... kwani walio tunga majina kama standard bank au Trust bank....au Eco Bank waliangalia mbali kwani jina la bank linatakiwa liwe fupi kulitamka
Mkuu nashawishika kuamini kuwa uelewa wako ni mdogo
 
Usiwe mbishi wa kuelewa. Umeelezwa kwamba crdb si ile uliyokuwa unaifahamu kama cooperative and rural development bank. Hii ya sasa haina kirefu chochote. Kama walichangia wenzangu, crdb bank lilisajiliwa kama jina na biashara kama majina mengine. Sasa ukisema eti brela wanatakiwa kuuliza maana ya kila jina la kampuni utakuwa unakosea. Wao wanaposajiri cha kwanza ni kuangalia kama hakuna biashara yoyote yenye jina kama hilo. Walifanya hivyo kwani iliyokuwepo ilikuwa inaitwa crdb na sio crdb bank.kama kuna wengine wanaokosea sawa lakini kwa crdb bank ni sahihi. Kwani jina kama john lina kirefu chake? Aaaah bana usituchote akili!

LAT said:
mkuu...hapa nazungumzia maana ya jina na si uhalali wa kiusajili...kwani wao BRELA hawaangalii maana ya jina ipo sahihi au ...lakini ukweli unabaki kwamba CRDB Bank inaendelea kurudia rudia maneno

kuwa makini kusoma post kabla ya ku reply...nilchosema ndicho hicho hicho unachosisitiza.....hivyo basi CRDB haina kirefu kwa sasa hivi...... udhaifu wa kupata corporate brand ni ule ule na ndiyo maana CRDB ikakurupuka baada ya kuona udhaifu huu na wakati jina limeshajulikana... hivyo basi ikaelekea kufoji tu...ukweli utabaki vile vile there is repitition kwa kuangalia maana ya jina.... huwezi kwepa mantiki ya kirefu cha CRDB
 
Ndg yangu kwa taarifa tu,CRDB haikuitwa CRDB bank kimakosa kama ambavyo baadhi ya wachangiaji wanavyofikiri bali jina hilo lilikuja baada ya CRDB ile ya wakulima kubinafsishwa.
Ilipo binafsishwa ilibadili mwwelekeo kutoka Cooperative Rural Development Bank {kwa maana yake halisi ya Benk ya maandeleo Vijijini} na kuwa benki ya wafanyabiashara tena wakubwa ambao kimsingi huwezi kuwakuta vijijini.
Hivyo kuendelea kutumia 'CRDB' haingekuwa na maana na vilevile kutumia neno lingine lingekuwa na athari kubwa kibiashara kwa walio inunua. Ndio maana wakaamua kuita 'CRDB bank' na kwa sasa CRDB inayotumika sasa haina maana yoyote zaidi ya kutumika kama jina tu yaani huwezi kutoa kirefu cha CRDB Bank ya sasa kwa maana ile iliyokuwa inatumika zamani na huenda hakuna kirefu chochote cha neno hilo bali ni jina tu kama 'Athuman au John'

Mkuu LAT,Technically unachokichangia kina ukweli mkubwa,Jamaa wamekurupuka ili waendelee kutumia Brand name CRDB ambayo imeshauza sokoni,kwani kimantiki hakuna jina la la kampuni ambalo halina maana yoyote,hivyo kwa minajiri ya biashara ilikuwa vigumu kuingia na new brand name kwani ingewacost sana katika kuanza kuitangaza,hivyo ili wasionekane kama kuna kurudia rudia maneno ikawabidi wauwe maana iliyobebeka katika neno CRDB.Hivyo inabidi tukubali tu kwamba kuna bank inaitwa CRDB.....na hiyo(CRDB word is meaningless)
 
Mkuu LAT,Technically unachokichangia kina ukweli mkubwa,Jamaa wamekurupuka ili waendelee kutumia Brand name CRDB ambayo imeshauza sokoni,kwani kimantiki hakuna jina la la kampuni ambalo halina maana yoyote,hivyo kwa minajiri ya biashara ilikuwa vigumu kuingia na new brand name kwani ingewacost sana katika kuanza kuitangaza,hivyo ili wasionekane kama kuna kurudia rudia maneno ikawabidi wauwe maana iliyobebeka katika neno CRDB.Hivyo inabidi tukubali tu kwamba kuna bank inaitwa CRDB.....na hiyo(CRDB word is meaningless)

mkuu nashukuru kwa kuboresha mantiki.... nadhani nilikua ninaweweseka kutoa maelezo yanayogonga haswaaa ukweli na inasikitisha sasa kusikia maneno yanayoeleza kwamba short form ya letters CRDB inafananishwa na jina JOHN
 
mkuu nashukuru kwa kuboresha mantiki.... nadhani nilikua ninaweweseka kutoa maelezo yanayogonga haswaaa ukweli na inasikitisha sasa kusikia maneno yanayoeleza kwamba short form ya letters CRDB inafananishwa na jina JOHN

LAT tokea mwanzo ulipaswa ukubali kwamba hizo ACB, KCB n.k ni makosa kutamka ACB bank au KCB Bank.
Na wao ukiangalia nyaraka zao hawaandiki ACB Bank bali wataandika kifupi cake au jina kwa kirefu.

Kwa upande wa CRDB Bank wala usilazimishe kwamba walikosea, hiyo Coop Rural Dev Bank ni tafasiri yako ukiamini inaendelea kuwepo kwa vile imewahi kuwepo. Kama unataka maana ya kila herufi kawaulize wenye Bank maana kuna biashara nyingi zimesajiliwa kwa kufupisha majina sasa tukitaka kupeana majibu hapa ndani itakuwa kazi ndefu.

Tunachokubaliana na wewe ni namna ambayo wengi tunakosea kutamka baadhi ya mambo kama Drphone kagusia "barabara ya mandela road" au wengine husema "still bado" kama ilivyo kwa "repeat again".

Kwa muktadha huo hoja yako ina mantiki isipokuwa CRDB Bank
 
Back
Top Bottom