Laptop keyboard Problem

LAT

JF-Expert Member
Nov 20, 2010
4,401
1,312
wana jf

naomba msaada kwani nikiwa na type inatoke namba 3 na kujityp3e yenyewe mara nyingi bila kusimama ... mp3aka nitumie backsp3ace ndio inarudi lakini hujirudia tena ..... ninapo press no.3 button haitoi kitu na ninapo bonyeza no. 1 button number moja huandika na kufuatiwa na number tatu zikifululiza kuandika bila kuacha

is this keyboard p3333roblem or virus or what

please help3 me out as i am also very remote now
 
wana jf

naomba msaada kwani nikiwa na type inatoke namba 3 na kujityp3e yenyewe mara nyingi bila kusimama ... mp3aka nitumie backsp3ace ndio inarudi lakini hujirudia tena ..... ninapo press no.3 button haitoi kitu na ninapo bonyeza no. 1 button number moja huandika na kufuatiwa na number tatu zikifululiza kuandika bila kuacha

is this keyboard p3333roblem or virus or what

please help3 me out as i am also very remote now

iangalie vizuri hiyo key namba 3 yako. jaribu kuisafisha safisha na hakikisha haijajibonyeza. tatizo kama hilo mara nyingi linatokea ikiwa key moja wapo imejibonyeza. hiyo key namba 3 kwako inaonekana kama imebakia active kwa kubaki imebonyea.
 
Fungua uisafishe hiyo keyboard ni chafu so unapotaipu taarifa zinachelewa kupelekwa kwenye proccessor kutokana na vumbi kujaa.
 
Back
Top Bottom