Search results

  1. K

    Salamu za Lissu DUA: Pamoja na wagombea wetu kuenguliwa, Watanzania wametuunga mkono kwa nguvu kubwa. Tunataraji ushindi mkubwa mwezi Oktoba

    Mgombea urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, ametuma salamu zake kwa Democrat Union of Africa (DUA) ambacho kimefanya mkutano wa uchaguzi huko nchini Ghana. DUA ni ushirika wa vyama vya siasa vya mrengo wa kati-kulia barani Afrika. Ilianzishwa huko Dakar, Senegal, mnamo 1997. DUA inalenga...
  2. K

    Uchaguzi 2020 Ombi mahsusi kwa uongozi wa CHADEMA Media juu ya hotuba za Tundu Lissu

    Please uongozi wa CHADEMA Media fanyeni hima hotuba zote za Lissu kila anakofanya mkutano zitengenewe clips za peke yake kuwezesha wadau mbali mbali kuweza kufuatilia kwa mtiririko hotuba hizo. Pia itarahisisha kuzisambaza kwa umma kupitia ma group ya WhatsApp na mitandao mingine! Vipande...
  3. K

    Damu moto hivi kwa vijana wetu inatia moyo

    Huyu kijana yuko vizuri! Another Lissu in the making!
  4. K

    Uzalendo - Patriotism

    Huyu bi dada kanikuna sana! A true Kenyan in blood & mind despite American citizenship!
  5. K

    Mtoto wa nyoka ni nyoka - Winnie Odinga

    Bila kujali aina ya siasa za Odinga, nimevutiwa sana na huyu binti yake mdogo! Anaelekea kuwa focused and composed! She is really potential politician in the making!
  6. K

    CJ Maraga - Mtu wa Mungu na watu

    Nimevutiwa sana na CJ Maraga! Hakika ni mtu wa Mungu na mtu wa watu! Mungu ambariki sana!
  7. K

    Nyerere na siasa za ukabila

    Tangu awamu ya nne mpasuko wa Taifa kwa misingi ya udini na ukabila umekuwa ukiongezeka siku baada ya siku! Hii ni hatari kubwa kwa mshikamano wa kitaifa! Tujikumbushe mawaidha ya baba wa Taifa kuhusu swala la ukabila!
  8. K

    Upinzani jipangeni 2020 sio mbali!

    Kufikia Oktoba 2017 serikali awamu ya tano itakuwa madarakani kwa miaka miwili tayari! Uchaguzi Mkuu 2015 malalamiko yalikuwa mengi sana juu ya "Tume ya Uchaguzi"! Mbona sioni tuhudi zozote zinafanyika kuhakikisha inapatikana "Tume Huru ya Uchaguzi" kabla ya 2020? Hizi harakati za matamko ya...
  9. K

    Msanii wa Niki wa Pili Amefunguka juu ya Mambo yanayoisababishia Afrika Umasikini na Ufisadi mkubwa

    Tuachane na mijadala ya mimba za watoto wa shule, ambao kimsingi wanabakwa! Tucheue mijadala kama hii kwa ustawi wa ufahamu wetu na ushiriki wetu kwenye mijadala ya kitaifa!
  10. K

    Hussein Bashe utafikiri havai nguo ya kijani

    Huyu kijana ukifuatilia michango yake bungeni yuko tofauti sana na wenzie wa chama chake! Hapigi vijembe au kuimba taarabu, yeye anakata issues mpaka utafurahi kumsikiliza! Laiti wangekuwa wengi kama yeye huko chamani!!
  11. K

    Wishful Thinking

    Baada ya kamati ya kwanza ya Prof. Mruma kutoa taarifa iliyoashiria kuwa Acacia wanatupiga/ibia sana kwenye makinikia(mapanki), na kupelekea waziri, watumishi na bodi TMAA kutumbuliwa, natamani kamati ya pili ingalipewa hadidu rejea ya ziada kufuatilia pia taarifa za real deal/dhahabu safi...
  12. K

    Gharama za upinzani Tanzania

    Nimejifunza jambo kubwa sana leo kutokana na wasifu huu wa mzee "Ndesa Pesa": Kwamba sio kila anayefanya siasa anatafuta maslahi binafsi ya kiuchumi! Hakika Chadema imejaa damu & jasho la huyu baba!!! Tangulia kamanda Ndesamburo na Mungu akakujazi!
  13. K

    Watoto 130 wa Tanzania hufariki kila siku kwa ukosefu wa lishe bora

    Zaidi ya nusu karne ya uhuru wa nchi, bado watoto 130 wa Tanzania hufariki kila siku kwa ukosefu wa lishe bora! Hapo hujaweka idadi ya wale wanao "dumaa"!!! Hii imekaaje GT?
  14. K

    Prof. Tibaijuka katika ubora wake

    Prof. Tibaijuka anakiri kuwa kama nchi tumekosea kwa muda mrefu, na ile tuweze kujinasua na kusonga mbele vijana wetu wataalamu (Lissu & Co) wasikilizwe na sio kupuuzwa!
  15. K

    Kinana katika ubora wake!

    Hivi huyu mzee hapa alikuwa anafanya sanaa au alikuwa anamaanisha alichokuwa akikisema? Mambo mazito sana haya, laiti yangefanyiwa kweli kazi na ccm!
  16. K

    Nimeipenda hii ya USA

    Kwa wajuzi wa haya mambo hebu iwekeni hii kitu kwenye mgawanyiko wa mihimili yetu ya dola hapa Tanzania
  17. K

    Taarifa ya habari, Channel 10, tarehe 14.12.2016

    Jana tarehe 14.12.2016 nikifuatilia taarifa ya habari channel 10 majira ya jioni nilifurahishwa na taarifa iliyohusu wawekezaji wa Ujerumani kujenga kiwanda kikubwa cha mbolea Tanzania ambacho kitakuwa kikubwa zaidi kwa Afrika. Ila nilishtushwa kidogo alipoongea balozi wa Ujerumani na kudai kuwa...
  18. K

    Yu wapi mbunge Ridhiwani Kikwete?

    Mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka jana 2015, jina la mheshimiwa mbunge Ridhiwani Kikwete halikuwa haba kwenye media! Ama yeye mwenyewe alifanya mambo/matukio yaliyohitaji coverage ya media, au alituhumiwa kuhusika na mambo mbalimbali ya kibiashara na hata kijamii! Kwa sasa anaonekana na hata...
Back
Top Bottom