Upinzani jipangeni 2020 sio mbali!

kindafu

JF-Expert Member
Nov 12, 2010
1,346
1,676
Kufikia Oktoba 2017 serikali awamu ya tano itakuwa madarakani kwa miaka miwili tayari! Uchaguzi Mkuu 2015 malalamiko yalikuwa mengi sana juu ya "Tume ya Uchaguzi"! Mbona sioni tuhudi zozote zinafanyika kuhakikisha inapatikana "Tume Huru ya Uchaguzi" kabla ya 2020? Hizi harakati za matamko ya baadhi ya watu kumtaka uncle Magufuli awe Raisi wa kudumu hazijawashtua bado kuwa njia inafagiliwa kuelekea 2020 na pengine hata 2025?
Yangu macho na masikio!!!
 
Kufikia Oktoba 2017 serikali awamu ya tano itakuwa madarakani kwa miaka miwili tayari! Uchaguzi Mkuu 2015 malalamiko yalikuwa mengi sana juu ya "Tume ya Uchaguzi"! Mbona sioni tuhudi zozote zinafanyika kuhakikisha inapatikana "Tume Huru ya Uchaguzi" kabla ya 2020? Hizi harakati za matamko ya baadhi ya watu kumtaka uncle Magufuli awe Raisi wa kudumu hazijawashtua bado kuwa njia inafagiliwa kuelekea 2020 na pengine hata 2025?
Yangu macho na masikio!!!
HAKUNA MTU MWENYE AKILI TIMAMU ATAWACHAGUA HAO WAPINZANI KWENYE NAFASI YOYOTE 2020 BAADA YA KUGUNDUA KUWA NI MATAPELI TU HAWANA KIPYA!
 
HAKUNA MTU MWENYE AKILI TIMAMU ATAWACHAGUA HAO WAPINZANI KWENYE NAFASI YOYOTE 2020 BAADA YA KUGUNDUA KUWA NI MATAPELI TU HAWANA KIPYA!

Pengine ni kweli, ila ni vizuri mazingira ya uchaguzi yaonyeshe wazi kuwa "hawa wamekataliwa na wananchi" na kupunguza malalamiko ya kuwa "wale wamebebwa na Tume ya Uchaguzi"!
 
Pengine ni kweli, ila ni vizuri mazingira ya uchaguzi yaonyeshe wazi kuwa "hawa wamekataliwa na wananchi" na kupunguza malalamiko ya kuwa "wale wamebebwa na Tume ya Uchaguzi"!
Badilisheni kwanza mwenyekiti wenu ndio mdai Demokrasia.
 
Kufikia Oktoba 2017 serikali awamu ya tano itakuwa madarakani kwa miaka miwili tayari! Uchaguzi Mkuu 2015 malalamiko yalikuwa mengi sana juu ya "Tume ya Uchaguzi"! Mbona sioni tuhudi zozote zinafanyika kuhakikisha inapatikana "Tume Huru ya Uchaguzi" kabla ya 2020? Hizi harakati za matamko ya baadhi ya watu kumtaka uncle Magufuli awe Raisi wa kudumu hazijawashtua bado kuwa njia inafagiliwa kuelekea 2020 na pengine hata 2025?
Yangu macho na masikio!!!
SIASA MWISHO 2015
MABADILIKO PELEKENI CHOONI
sizonje atangaza rasmi kuwa rais wa milele.
mwez wa saba ndo huu na bado tupo mjini
 
Kufikia Oktoba 2017 serikali awamu ya tano itakuwa madarakani kwa miaka miwili tayari! Uchaguzi Mkuu 2015 malalamiko yalikuwa mengi sana juu ya "Tume ya Uchaguzi"! Mbona sioni tuhudi zozote zinafanyika kuhakikisha inapatikana "Tume Huru ya Uchaguzi" kabla ya 2020? Hizi harakati za matamko ya baadhi ya watu kumtaka uncle Magufuli awe Raisi wa kudumu hazijawashtua bado kuwa njia inafagiliwa kuelekea 2020 na pengine hata 2025?
Yangu macho na masikio!!!
TUME HURU KWA FAIDA YA NANI? NI NANI AWAPE HIYO TUME HURU YA UCHAGUZI? MKAFANYE NINI IKULU CHA MAANA?
 
TUME HURU KWA FAIDA YA NANI? NI NANI AWAPE HIYO TUME HURU YA UCHAGUZI? MKAFANYE NINI IKULU CHA MAANA?

Hii namna ya kufikiri na kuona vitu ni ya kwako kweli au unajibu kama roboti kumfurahisha mwingine? Simply pathetic!!!
 
Back
Top Bottom