Habari Wanajukwaa;
Kama tunavyo fahamu leo Mahakama kuu Mkoani Arusha imempa ushindi aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya hai, Lengai Ole Sabaya, dhidi ya Jamhuri katika kesi yake ya unyang'anyi wa kutumia silaha aliyokuwa amehukumiwa miaka 30 Jela.
Sabaya ameshinda rufaa hii bila ya kuwepo hashtags...
Habari wana jukwaa. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu, Mnamo tarehe 22/02/2022 shirikisho la mpira wa miguu Duniani (FIFA) lilizipiga marufuku nchi za Kenya na Zimbabwe kujihusisha na shughuli zozote za soka kutokana na Serikali zao kuingilia mashirikisho ya soka ya nchi hiyo kitu...
Kwa wale ambao hamkupata wasaa wa kusoma andiko la DIGALA lililomfanya afungiwe na TFF nimewawekea hapa ulisome halafu tuone kama kaonewa au ukweli mchungu umewauma "Tifua Tifua"
Habari wanajukwaa, naomba moja kwa moja niende kwenye uzi mfupi wa hiyo swali kama linavyosomeka.
Katika baadhi ya nyaraka mbalimbali ninazokutana nazo kama za kazini, NIDA, fomu za maombi ya kupigia kura, kujiunga na Chuo na nyaraka nyingine zinahozitaji kijua wapi ulipotoka au wapi...
Hiyo account ilikuwa verified kipindi yuko hai hadi last week, but kuanzia leo ndio haiko verified. Ina additional, Mbona account ya Dr Mengi iko bado verified ili hali naye hatupo naye?
Habari wana jukwaa. Leo nikiwa katika harakati za kutafuta, kuchakata na kusambaza habari kwenye mtando wa kihanaharakati wa Twitter nilitembelea katika ukurasa wa hayati Magufuli ila nilisitaha ajabu kutokukuta kwa tiki ya blue ambayo inaonesha uthibitisho wa ukurasa husika kuwa ni sahihi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.