WINGER_TEREZA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 242
- 450
Habari wanajukwaa, naomba moja kwa moja niende kwenye uzi mfupi wa hiyo swali kama linavyosomeka.
Katika baadhi ya nyaraka mbalimbali ninazokutana nazo kama za kazini, NIDA, fomu za maombi ya kupigia kura, kujiunga na Chuo na nyaraka nyingine zinahozitaji kijua wapi ulipotoka au wapi ulipozaliwa utakuna kuna sehemu imeandika 'Mahala ulipozaliwa'.
Swali langu litachukulia kwenye huu mfano; Kwa mfano wewe ni mkazi wa Mtaa wa Shimo la Udongo, Kata ya Kurasini, tarafa ya Kurasini, Wilaya ya Temeke Mkoa wa Dar es Salaam na wakati Mama yako anatarakia kujifungua siku hiyo ya wewe kuzaliwa alipelekwa Zahati ya Kata ya Kurasini ( hapo hapo mnapokaa) ila kutokana na changamoto za hapa na pale akalazimika kupewa rufaa kwenda Hospital ya Rufaa ya Amana iliyoko Mtaa wa Bungoni, Kata ya Amana, Tarafa ya Boma, Wilaya ya Ilala Mkoa wa Dar es Salaam.
Swali langu ni je, ukiulizwa Mahala ulipozaliwa unatakiwa uandike taarifa za wapi, kule Amana ulipozaliwa au Kule Shimo la Udongo utakaporudi na ndiko unakoishi siku zote?
Nawasilisha.
Katika baadhi ya nyaraka mbalimbali ninazokutana nazo kama za kazini, NIDA, fomu za maombi ya kupigia kura, kujiunga na Chuo na nyaraka nyingine zinahozitaji kijua wapi ulipotoka au wapi ulipozaliwa utakuna kuna sehemu imeandika 'Mahala ulipozaliwa'.
Swali langu litachukulia kwenye huu mfano; Kwa mfano wewe ni mkazi wa Mtaa wa Shimo la Udongo, Kata ya Kurasini, tarafa ya Kurasini, Wilaya ya Temeke Mkoa wa Dar es Salaam na wakati Mama yako anatarakia kujifungua siku hiyo ya wewe kuzaliwa alipelekwa Zahati ya Kata ya Kurasini ( hapo hapo mnapokaa) ila kutokana na changamoto za hapa na pale akalazimika kupewa rufaa kwenda Hospital ya Rufaa ya Amana iliyoko Mtaa wa Bungoni, Kata ya Amana, Tarafa ya Boma, Wilaya ya Ilala Mkoa wa Dar es Salaam.
Swali langu ni je, ukiulizwa Mahala ulipozaliwa unatakiwa uandike taarifa za wapi, kule Amana ulipozaliwa au Kule Shimo la Udongo utakaporudi na ndiko unakoishi siku zote?
Nawasilisha.