Jambo wakuu
Kuna wimbo wa zamani kidogo calypso nafahamu baadhi ya mistari lakini sijui jina la wimbo huu. Naomba anayeufahamu anipe mashairi yake au anipe jina la wimbo tafadhali.
chorus: "Would you like to jam it with me baby, would you like to rock with me honey
sweet calypso ........
music...
Wakuu nawasalimu.
Poleni kwa majukumu ya kila siku pamoja na harakati za kupambana na makinikia yetu.
Naomba nisiwapotezee muda kwa hadithi ndefu. Nimepoteza hati ya kiwanja naomba msaada wa mawazo nini cha kufanya maana sina copy na original ndio imepotea katika mazingira tata. Nafikiri...
Huu ni uandishi gani jamani? Nimekutana na baadhi ya maneno mwandishi aliyatumia akijaribu kuelezea muswada wa sheria uliowasilishwa juzi bungeni. Nimesikitishwa jinsi tunavyoharibu lugha yetu. Neno "subuliwa" lilikuwa na maana gani? "kukulukakala" ??? Shame!!
Kama ukikuwa mbali jana ndiyo...
Nimeudhika sana tena sana. Nimegundua kama mara tatu hivi nikijaza muda ea maongezi huduma ambayo nainunua kwao wananipa dakika kadhaa na msg ambazo huishia saa sita usiku.
Cha ajsbu juxi niliweka yatosha saa 7 usiku asbh msg hakuna hata moja lakini muda wa maongezi bado ulikuwepo japo msg...
Niende moja kwa moja kwenye mada. Nilifika mapokezi nikaomba kuonana na mkurugenzi. Huyu binti mnatooo sijui ndio mmiliki halali au vipi maana duuu anaongea km anapumua almasi kumbe hewa ya kawaida tu.
Akaniuliza una appointment? nikajibu la! Akasema nipe namba yako nitamfikishia ujumbe kisha...
Asalaam aleykhum wote.
Napenda kuwashukuru wana JF wote wanaosoma na wale wanaocomment kwenye post zangu kwa namna yo yote ile. Mnanipa furaha, nafarijika sana hasa kwa wale wanaoponda. I wish wangejua wananipanua ubongo kivipi.
Niliowakwaza mniwie radhi, ndivyo nilivyo sifanyi kwa makusudi...
Hebu naomba kujuzwa hili. Kuna miji au nchi zimebadili majina na kupewa mengine. Je ni kusiasa au kihistoria au ni viongozi madikteta? Mfano: 1. Cambodia = Thailand 2. Burma = Myanmar 3. Peking = Beijing 4. Mesopotamia = Iran n Iraq 5. Affars n Isas = Djibout 6. Dahomey = Benin 7. Upper Volta =...
Msaada wenu wadau. Naonba kuuliza uchaguzi Znz umefutwa au uneahirishea? Kama umefutwa JPMakufuli ni rais wa JMT? Km ni ndiyo je wananchi ea Znz walimchaguaje?' Mwenzenu nina maswali mengi sana lkn nashindwa kutiririka. Hebu nijibuni hayo kwanza
Jamani hivi kweli inaingia akilini toka jpili mpk leo jtano jimbo la mbagala hawajamaliza kuhesabu kura laki mbili? Ingawaje najua hata hazifiki idadi hiyo? Sensa ya nchi nzima hufanyila kwa siku 1 tu. Sasa mtu mzima inakuwaje? Hao wasimamizi wa vituo kwann wasichukuliwe hatua?
Heshima kwenu nyote. Naomba mwenye kuweza kunisaidia nipate battery ya laptop Dell ya kwangu imekufa. Chonde nina shida hiki kilaptop ndio kiofisi changu jamani toka juzi sijawasha jiko ofisi imelala. Mwenye msaada pse aweza hata kunirushia PM maana huu mtaa naujua kwa wale waliofyatuka matusi...
Jambo wakuu.
Naomba msaada wenu wakuu. Jana nikikuwa nafanya kazi kwenye kilaptop changu DELL lakini cha zamani kidogo. Ghafla kikakata moto. Hakukuwa na power interruption maana kuna vitu vingine pia vilikuwa kwenye umeme. Wandugu naomba anayejua shida ni nini anisaidie.
Kwa kweli ni...
Kama kawaida najua kuna wale wanaojifanya much know wenye viherehere vya kutoa comments hata ambazo hazihusiani na mada yenyewe ambao hawataacha kutupia mitusi yao hapa. Ruksa kwa raha zako!!!
Ktk pitapita yangu nikakutana na hawa jamaa. Duuuu majina yanavyotamkwa huwezi fikiri ndio lile...
Kweli tunatumia ID tuzijuaxo ssisi wenyewe. Hivi km mpenzio nae yumo humu halafu anakutana na uzi ambao umemtokea wrwe ndio umeuandika atajisikia vp halafu reaction itakuwaje? Nisaidieni wadau. Hasa mambo ya mgegedo waume wajisifia saana hlf mkeo au demu wako anakuta umeandika exactly vile...
Salamu kwenu wana JF. Umuofiaaa!!! Nasema hawa jamaa ni wago jwa tena sana. Ugonjwa ni contagious na ni terminal n malignant. Nasema hivi kwa sababu nakumbuka ktk miaka ya 80s kulikuwepo chama kimoja tu na kulitokea ubadhirifu mkubwa sana serikslini watu wengi wakalundikwa ndani lkn tabia ile...
Huwa napenda sana kipindi cha Sports Bar cha Clouds. Naona wanaongea sana kuhusu Ndondo Cup. Sasa jana walikuwa timu ya Kauzu yule jamaa ana uwezo kweli wa kumobilize watu ila ile lugha bana aliniacha hoi. Anajitahidi anatupia lugha ya majuu basi anamwambia eti bosi wake Dr. Mwaka "tomorrow will...
Naomba kujua mwenye mamlaka ya kuandika / kuweka majina kwenye mitaa au barabara husika ni nani? Na anapoandika anakuwa na ufahamu wa kina kuhusu anachoandika? Mie nimekuna kichwa mara nyingi nataka kumfungia safari mkurugenzi wa jiji naogopa nisijeitwa 'WA KUKURUPUKA'
1. UNITED NATION ROAD?
2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.