mamitod
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 914
- 385
Huu ni uandishi gani jamani? Nimekutana na baadhi ya maneno mwandishi aliyatumia akijaribu kuelezea muswada wa sheria uliowasilishwa juzi bungeni. Nimesikitishwa jinsi tunavyoharibu lugha yetu. Neno "subuliwa" lilikuwa na maana gani? "kukulukakala" ??? Shame!!
Kama ukikuwa mbali jana ndiyo siku ambayo Bunge limepokea ule mswada ambao ulikuwa umesubuliwa kwa hamu na kuzua kikilikakala bungeni wakati wa uundaji wake.
Kama ukikuwa mbali jana ndiyo siku ambayo Bunge limepokea ule mswada ambao ulikuwa umesubuliwa kwa hamu na kuzua kikilikakala bungeni wakati wa uundaji wake.