mamitod
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 914
- 385
Jambo wakuu.
Naomba msaada wenu wakuu. Jana nikikuwa nafanya kazi kwenye kilaptop changu DELL lakini cha zamani kidogo. Ghafla kikakata moto. Hakukuwa na power interruption maana kuna vitu vingine pia vilikuwa kwenye umeme. Wandugu naomba anayejua shida ni nini anisaidie.
Kwa kweli ni kama mtu amenikata mikono maana ilikuwa inanisaidia katka kutafuta riziki. Mimi ni mjane sijaajiriwa na hiyo ndio ilikuwa inanipatia chochote cha kuendesha life hapa town. Huwa naandika short stories kwa watoto wa level ya primary. Nimemwandikia pia publisher mmoja vitabu 2 vya English for primary schools, Mungu akipenda vitaanza kutumika mashuleni next year.
Sijaweza kusimama mwenyewe ndio maana bado nawatumikia watu. Naomba msaada kwa yeyote aliyeguswa na hili. Mwenye computer ya ziada anaweza kunifanya dumping pit yake jamani. Chonde chonde nimepigika, hebu nisaidieni kuokoa hili jahazi. Files zangu zote zimefia humohumo.
Naomba wale wenye kejeli na madharau wakisoma hapa wakaushe tu wasiniongezee machungu.
Nasubiri huruma zenu wakuu. Ahsante
Naomba msaada wenu wakuu. Jana nikikuwa nafanya kazi kwenye kilaptop changu DELL lakini cha zamani kidogo. Ghafla kikakata moto. Hakukuwa na power interruption maana kuna vitu vingine pia vilikuwa kwenye umeme. Wandugu naomba anayejua shida ni nini anisaidie.
Kwa kweli ni kama mtu amenikata mikono maana ilikuwa inanisaidia katka kutafuta riziki. Mimi ni mjane sijaajiriwa na hiyo ndio ilikuwa inanipatia chochote cha kuendesha life hapa town. Huwa naandika short stories kwa watoto wa level ya primary. Nimemwandikia pia publisher mmoja vitabu 2 vya English for primary schools, Mungu akipenda vitaanza kutumika mashuleni next year.
Sijaweza kusimama mwenyewe ndio maana bado nawatumikia watu. Naomba msaada kwa yeyote aliyeguswa na hili. Mwenye computer ya ziada anaweza kunifanya dumping pit yake jamani. Chonde chonde nimepigika, hebu nisaidieni kuokoa hili jahazi. Files zangu zote zimefia humohumo.
Naomba wale wenye kejeli na madharau wakisoma hapa wakaushe tu wasiniongezee machungu.
Nasubiri huruma zenu wakuu. Ahsante