Kuna jamaa Zangu wapo vijijini wawili wapo masasi na mwingine yuko Lind vijijini Ruangwa.
Hawa jamaa Zangu wa masasi kuna mmoja kila nikimwambia jambo lenye mafanikio yupo yupo tu ila nikimwambia nimepata majanga kwenye ile inshu ananicheka mpaka nikamuliza wewe mbona kila nikipata majanga...
Wakuu naombeni ushauri nimeota ndoto kama mara mbili zinanitokea point namuota x wangu ananililia na kuniarahumu kwanini nimemuacha zinanitokea baada ya mimi kuwa na mahusiano na binti mwingine na kabla ya mahusiano mapya na huyu binti nirimuomba nakumuomba tuyasahau ya nyuma alikataa ila...
Ameniambia Yeye Ni Mke Wa Mtu Lakini Na Chati Nae Mpaka Saa Sita Usiku Kila Siku Akitaka Kulala Anasema Nimpigie Au Anapiga Yeye Anacho Niambia Anataka Kusikia Sauti Yangu Tu Na Nikimwambia Nipo Single Anafurahi Nikimwambia Ninaye Girlfriend Anachukia Na Lawama Kibao
Niliachishwa kazi toka mwaka 2016-2017 sikufuatilia nilisafiri nje ya nchi. Sasa nimerudi nikaenda NSSF wakanipa fomu ya kujitoa nikajaza nikawarudishia. Baada ya kumaliza harakati zote, wakaniambia watapiga simu lakini mpaka leo kimya.
Madai ya kujitoa niliandika 15/1/2018
Baada ya kumwambia nina mpango Wa kusafiri tena nje ya nchi ataki amenuna na nikimpigia cm ananijibu kwa hasira mara ooo nimeshatorewa barua visa kibao
Hivi wasichana inakuwaje mfano boyfriend wako hapo nyuma ulimuwacha tena kwa kilio ukisema sitaki kila akilazimisha unasema utaki naye akasema poa baaada ya mwaka mmoja Huyo huyo boyfriend wako akajipendekeza tena kwako akijuwa utamkazia kama mwanzo cha ajabu unajirahisisha kwake na kumwambia...
Wakuu naombeni msaada jinsi ya kujiunga na chuo cha ubaharia (DMI) )kozi zake kina anzia pesa kiasi gani.
===
UFAFANUZI NAMNA YA KUJIUGA NA CHUO CHA DMI
Applications for admission are invited from qualified individuals (Tanzanians and non-Tanzanians) wishing to pursue various Degree programmes...
Kila nikigombana naye lazima usiku nipate shida aidha nakimbizwa au watu wamenikamata wanataka wanifanyie kitu mbaya.
Kingine ambacho kina utata mfano nikitaka kumgegeda dhakari yangu nikitaka kuweka kwenye papuchi yake inazima kabisa lakini kwa wengine fresh nagegeda nagombana nao usiku nalala...
ni kama best friend hivi ! tatizo yeye akipiga story na wanaume mie nikiona na chukulia poa maana sio mchumba wangu .lakini mie akiniona na piga story na msichana anachukia na hata nikimpa hai ataki
Kwanza alisema ile simu uliyonipa kipindi kile nimeuza, nikamtafutia simu nyingine. Baada ya mwezi nikamuona na ile simu aliyosema kauza. Nikamwambia vipi mbona unayo? Anajichekesha.
La pili wakati nipo likizo nikaondoka gheto(chumba cha kupanga), sio mbali na home ni hapahapa town. Akanibeep...
Maisha ya uswazi kwenye nyumba ya kupanga nilikuwa poa sana kipindi cha nyuma mfano umeme ukikatika ghafla.
Mimi uwanajitolea kununua hili tusilale kiza na hili joto lisitutese hata kama mchango ulishapita kumbe nilivyokuwa na fanya vile wezangu walikuwa wanachukia.
Sasa nimesitisha...
Mpangaji 1 alikuwa ana tumia zuli langu yeye na mumewe nikawaambia ukweli wakanikasirikia.
Mpangaji wa 2 siku moja nilikuwa naanika nguo yangu kwenye kamba bahati mbaya nikaangusha nguo za mtoto wake akanisema kwanba nimeangusha nguo hizo kwa makusudi akanishatakia kwa bibi house akasema...
Wabongo tuishio uswahili bhana shida sana ukimkosea kidogo tu shida. mfano amekusalimia ujamsikia vizuri ujamuitikia atakuambia haya maisha tu . Nao Mademu watakuambia unadharau sana au unajiona sana .
Kwa ufupi mie ni mcheshi sana sometimes wananitoa mpaka akili mie nachukulia poa lakini Nikiamuwa kubadilika na nikawapotezea ! no salaamu no everything wanalalamika na hii imekuwa ata kwa ndugu zangu mpaka kwa girlfriend angu nikiona wanaleta dharau au ananiletea dharau nikipiteza tu wanalalamika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.