wambagusta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 2,840
- 2,332
Wakuu naombeni ushauri nimeota ndoto kama mara mbili zinanitokea point namuota x wangu ananililia na kuniarahumu kwanini nimemuacha zinanitokea baada ya mimi kuwa na mahusiano na binti mwingine na kabla ya mahusiano mapya na huyu binti nirimuomba nakumuomba tuyasahau ya nyuma alikataa ila nikitaka tuonane kwa story alikubari lakin mapenzi basi baada ya kuchafua hivyo nikajiongeza kuchukua binti mwingine na mawasiriano kwake nimekata na namba yake ya simu nimefuta kwa sababu siitaji nipoteza mda kwake na sitaki nimfosi maana sijui mungu anaepusha nini kwangu na kwake lakin tatizo ndoto zinanirudia rudia sijui zinamaanisha nini .angarizo samahanini kwa mwandiko wangu kama nimekosea kuzipangiria herufi vizuri