wambagusta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 2,804
- 2,252
Niliachishwa kazi toka mwaka 2016-2017 sikufuatilia nilisafiri nje ya nchi. Sasa nimerudi nikaenda NSSF wakanipa fomu ya kujitoa nikajaza nikawarudishia. Baada ya kumaliza harakati zote, wakaniambia watapiga simu lakini mpaka leo kimya.
Madai ya kujitoa niliandika 15/1/2018
Madai ya kujitoa niliandika 15/1/2018