Search results

  1. M

    Utawaambiaje Bodaboda Lowassa kashindwa wakuelewe?

    Habarini, Kama mjuavyo asilimia 57 ya wapiga kura ni vijana ambao kwa hesabu za haraka 50% watampigia kura Lowassa na hao 7% hawaeleweki. Ili kupata ushindi Rais anatakiwa awe na kura zaidi ya 50%, kwa kuangalia orodha ya Tume inaonesha wengi ni wapiga kura wa Lowassa, wanatarajia Lowassa...
  2. M

    NIDA: Mwaka wa pili sasa nasubiri kupiga picha ya kitambulisho cha taifa

    Habarini wanajamvi, Nikiwa Mtanzania kama walivyo wengine nami niliitikia wito wakujiandikisha kwenye daftari kwa ajili ya kitambulisho cha taifa. Ni miaka miwili sasa imepita toka nijiandikishe lakini sijawahi fanikiwa kupata kitambulisho kwani sijapigwa picha. Nimekuwa nikitembelea kituo...
  3. M

    Nikipewa mil 50 naacha kazi na vyeti vyote nachoma moto

    Habari wanajamvi, kwa hali ilivyo kwetu sisi wafanyakazi hasa sisi wakipato cha chini, maisha yetu yanazidi kuwa magumu. Nimejitahidi kumtumikia kafiri miaka 7 sasa huku nikisave kila mwezi lakini hadi leo mil 10 sina, kila siku linazuka jipya na uchumi unaporomoka in short ajira hainisaidii...
  4. M

    CRDB mjirekebishe,Huduma zenu mbovu

    Poleni na Majukumu wana JF,naandika waraka huu kuelezea masikitiko yangu kwa CRDB. Kwanza kabisa,mtandao wenu wa ATM ni korofi sana,na mara nyingi ATM zenu zinakuwa hazina pesa hata kama hiyo ATM ipo kwenye tawi,mfani pale brach ya Mlimani city pana ATM kama sita hivi na utakuta ni ATM moja tu...
  5. M

    Mradi wa DARTS (MABASI YAENDAYO KASI) umewatenga walemavu

    Habari wanajamvi;poleni na majukumu. Naandika ujumbe huu kwa masikitiko maana ndugu zetu walemavu wametegwa na mradi huu mpya. Ukiangalia mradi huu kuanzia Posta hadi Kimara hakuna hata mahali panapo mruhusu mlemavu kuvuka. Chukulia mfano mlemavu anakaa kati ya vituo viwili vya mabasi sema...
  6. M

    Kwa nini waTanzania wengi huwa na diary za miaka ya nyuma?

    Nimekuwa nikijiuliza binafsi kujua hasa kwa nini waTanzania tuliowengi hutembea na kutumia diary za miaka ya nyuma, mfano kuna maelfu ya waTanzania hadi leo tunatumia diary za mwaka 2010-2012. Je mipango yetu bado ipo juzi na jana wakati tunaishi leo? Au ndo hatuna utamaduni wa kujipangia...
  7. M

    Vijana tumejiunga,tunaanzisha kampuni ya ICT.tuunge mkono kuwa mwanafamila wetu

    Hi Due to the challenges facing our Nation, we as Engineers have decided to give what we learn in school back to our fellow Tanzanians by providing them with fast and reliable services in electrical, electronics and telecommunication field... We are offering the following services 1. Electrical...
  8. M

    Kanisa lavamiwa: Mapadre wapigwa risasi Iringa

    eofrey Nyang'oro, Iringa MAPADRI wawili wa Kanisa Katoliki Parokia ya Isimani, Jimbo la Iringa, wamejeruhiwa vibaya na kulazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Iringa, kutokana na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi kuwajeruhi kwa silaha za jadi na bunduki, baada ya kuvamia nyumba wanazoishi...
  9. M

    ninamashaka na utendaji na ufanisi wa STRABAG

    habari wana jamvi,kw wale wakazi wa Dar watumiayo morogoro road polen kwa foleni. Nimeguswa kuandika hoja hii kutokana na yale niyaonayo kwa macho yangu. kwanza, matumizi ya malighafi.pita uone jinsi zege lilivyotupwa,jinsi matofali yalivyo vunjwa bila tija.uthibitisho upo kipande cha kimar...
  10. M

    graduate wa electronics and telecomm natafuta internship au kazi

    habari wanajamvi..nikiwa kama graduate katika fan tajwa hapo juu ninaomba kwa yeyote mwenye access na kaz zihusishazo field yangu anisidie. kuhusu experience ipo nitaweza kutuma CV kwa yeyote atakayehitaj....
  11. M

    Radi huuzwa SUMBAWANGA TSh 4000 tu

    KWA wakazi wa Dar es Salaam, mawingu yanapotanda angani na kutengeneza giza ambalo huashiria mvua, kwao huwa ni jambo la kawaida na pengine ni ahueni kwa karaha za joto kali. Lakini kwa wakazi wa mkoa wa Rukwa, ikiwemo hasa Sumbawanga, dalili ya mvua inayoambatana na radi ni tishio la...
  12. M

    Mchanga wa chukuliwa Morogoro kwenda teketezwa Nje(Ulaya)

    benki ya Dunia imedhamini mchakato wa kukwapua tani kibao za udogo unaodaiwa kuwa umeharibiwa na viwatilifu,hivyo haufai kwa matumizi ya binadamu. katika mchakato huo udogo huo ambao umejazwa kwenye mifuko maalumu utasafirishwa kwenda ulaya kwa ajili ya kuteketezw... hivi Tanzania hatuwezi...
  13. M

    CAMERA ya Mwangosi iko wapi?

    sitaki kuwakumbusha wadau juu ya mauaji ya kikatili juu ya Mwangosi bali ni kutaka kuhoji na kufaham kwa kirefu zaidi....nauliza sasa CAMERA YA MWANGOSI IKO WAPI? pengine tungeweza ona mengi
  14. M

    mfanye hivi baba RIz kama unajipenda

    rais Obama akibebwa na muuza pizza
  15. M

    Nyakua Nyakitita: Mhadhiri DIT anayeokota makopo barabarani

    WASWAHILI siku zote husema hujafa hujaumbika! Ukweli wa usemi huu unatimia unapomwona mtu huyu. Ungemwona miaka 13 iliyopita ungeshangaa, lakini leo mtu aliyeitwa mstaarabu, bondia wa kutegemewa na mcheza twist wa ukweli, Nyakua Nyakitita amebadilika kweli. Mtu ambaye alikuwa...
  16. M

    Nyakua Nyakitita: Mhadhiri DIT anayeokota makopo barabarani

    WASWAHILI siku zote husema hujafa hujaumbika! Ukweli wa usemi huu unatimia unapomwona mtu huyu. Ungemwona miaka 13 iliyopita ungeshangaa, lakini leo mtu aliyeitwa mstaarabu, bondia wa kutegemewa na mcheza twist wa ukweli, Nyakua Nyakitita amebadilika kweli. Mtu ambaye alikuwa...
  17. M

    ujambazi CBA Nyerere Rd: Picha kamili

    WATU wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wamevamia na kutumia mbinu za uhalifu wa hali ya juu na kupora magunia ya fedha kutoka Benki ya Biashara ya Afrika (CBA), iliyopo barabara ya Nyerere, jijini Dar es Salaam. Tukio hilo linaloweza kufananishwa na filamu za kimafia, lilitokea jana...
  18. M

    siri imefichuka:kumbe kamatakamata ya Tanesco ni kwa ajili ya haya

    MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetupilia mbali maombi ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kutaka isitishe utekelezaji wa malipo ya Sh96 bilioni kwa Kampuni ya Kufua Umeme ya Dowans kutokana na kuvunja mkataba wa kibiashara kinyume na sheria. Kufuatia uamuzi huo, Tanesco...
  19. M

    waandishi wa TBC na polisi

    palipotoke mauaji ya kamanda mwangosi,tume ya wahariri ilito mwongozo kwa vyombo vyote vya habari kususia habari za jeshi la polisi,lakini hawa TBC wapo bize kuwa uzisha sura polisi. Je TBC,hamfuati miongozo ya wahariri wenzenu? Au na ninyi ndo walewale?
  20. M

    Mwandosya na Slaa waahidi kusimamia watoto wa Marehemu Mwangosi

    MAZISHI ya Mwandishi wa Habari, Daud Mwangosi yalifanyika jana katika Kijiji cha Busoka kilichoko wilayani Rungwe, Mbeya na kuhudhuriwa na mamia ya waombolezaji wakiongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa...
Back
Top Bottom