Mkurabitambo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2010
- 230
- 57
habari wana jamvi,kw wale wakazi wa Dar watumiayo morogoro road polen kwa foleni.
Nimeguswa kuandika hoja hii kutokana na yale niyaonayo kwa macho yangu.
kwanza, matumizi ya malighafi.pita uone jinsi zege lilivyotupwa,jinsi matofali yalivyo vunjwa bila tija.uthibitisho upo kipande cha kimar ubungo..
pili,nikuto fanya kazi kwa mipango.fikiria walivyo anza kwa bwebwe pale kmara had ubungo lakin sasa hata reflector huon na sasa wmeenda chimbua magomeni.kwa nini msimalize sehemu moja ndipo mwende kwingine?
nihayo tu
Nimeguswa kuandika hoja hii kutokana na yale niyaonayo kwa macho yangu.
kwanza, matumizi ya malighafi.pita uone jinsi zege lilivyotupwa,jinsi matofali yalivyo vunjwa bila tija.uthibitisho upo kipande cha kimar ubungo..
pili,nikuto fanya kazi kwa mipango.fikiria walivyo anza kwa bwebwe pale kmara had ubungo lakin sasa hata reflector huon na sasa wmeenda chimbua magomeni.kwa nini msimalize sehemu moja ndipo mwende kwingine?
nihayo tu