ninamashaka na utendaji na ufanisi wa STRABAG

ninamashaka na utendaji na ufanisi wa STRABAG

Mkurabitambo

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2010
Posts
230
Reaction score
57
habari wana jamvi,kw wale wakazi wa Dar watumiayo morogoro road polen kwa foleni.
Nimeguswa kuandika hoja hii kutokana na yale niyaonayo kwa macho yangu.
kwanza, matumizi ya malighafi.pita uone jinsi zege lilivyotupwa,jinsi matofali yalivyo vunjwa bila tija.uthibitisho upo kipande cha kimar ubungo..
pili,nikuto fanya kazi kwa mipango.fikiria walivyo anza kwa bwebwe pale kmara had ubungo lakin sasa hata reflector huon na sasa wmeenda chimbua magomeni.kwa nini msimalize sehemu moja ndipo mwende kwingine?

nihayo tu
 
yaani walivyobandua ile Mitaro Imara ya Kajimu na kuitupa, roho inaniuma sana. Yaani ningeulizwa kushauri kuhusu bomoa hi ningekataa. Mipango mingine ya nchi yetu ni kutuongezea tu madeni
 
Hao ni wajerumani wenyewe au wajaruo au wahindi wanaotumia jina la wajerumani? If its Germans...they guys are really good. Unless consultant asifanye kazi yake vizuri.
 
Mkuu nikuulize swali?
Unautaalamu wowote na masuala ya construction? Kama huna kaa kimya hawa jamaa hawabahatishi ni kampuni ambayo haijaanza leo wala jana
Strabag is a Austrian construction company based in Villach, with its headquarters in Vienna. It is the largest construction company in Austria and one of the largest construction companies in Europe. The company is active in its home markets Austria and Germany and in all countries of Eastern and South-East Europe, in selected markets in Western Europe, on the Arabian Peninsula, as well as in Canada, Chile, China and India. In these markets STRABAG has subsidiaries or operates on a project-basis.

90% of the capital of German listed company Strabag AG, headquartered in Köln, belongs to the Austrian company.

Revenue yao ni 12 billion Euro wanajua wanachokifanya
mkuu

Kwa ushauri hebu waone hapa STRABAG SE - BUILDING VISIONS. BUILDING VALUES. BUILDING EUROPE.
 
Wabongo mbona hamna dogo?

hao hawana tatizo wenye tatizo ni SERIKARI yetu ndio hana mipango ya miaka 20 ijayo..ngoja eatakapo BOMOA barabara ya SAM NUJOMA NA MANDERA.mpaka MBAGARA wanaweka MABUS ya mendo kasi hiyo ndio BONGOLAND..
 
Pamoja na kuwa ni kampuni kubwa hoja ya mtoa mada ni kwa nini wasifanye kazi kwa vipande, kwa mfano kilomita tano tano, yaani wanamaliza tano ndipo waingie nyingine, wangeanza kimara kuja mjini au mjini kwenda kimara lazima wajue kuwa hapa ni mjini hivyo kuna taraffic kubwa tofauti na wanapofanya kazi ya barabara za vijijini aua kuunaganisha mkoa mmoja na mwingine. Ni hayo tu.
 
Mkuu nikuulize swali?
Unautaalamu wowote na masuala ya construction? Kama huna kaa kimya hawa jamaa hawabahatishi ni kampuni ambayo haijaanza leo wala jana
Strabag is a Austrian construction company

based in Villach, with its headquarters in Vienna. It is the largest construction company in Austria and one of the largest construction companies in Europe. The company is active in its home markets Austria and Germany and in all countries of Eastern and South-East Europe, in selected markets in Western Europe, on the Arabian Peninsula, as well as in Canada, Chile, China and India. In these markets STRABAG has subsidiaries or operates on a project-basis.

90% of the capital of German listed company Strabag AG, headquartered in Köln, belongs to the Austrian company.

Revenue yao ni 12 billion Euro wanajua wanachokifanya
mkuu

Kwa ushauri hebu waone hapa STRABAG SE - BUILDING VISIONS. BUILDING VALUES. BUILDING EUROPE.
Sawa mkuu,hii ni kampuni kubwa ndio,lakini pale wamejaa wahindi kwa asilimia kubwa, kuna jamaa yuko pale nilikuwa nae interbeton iringa, anaongea wazi wale jamaa bure kabisa.
 
Sawa mkuu,hii ni kampuni kubwa ndio,lakini pale wamejaa wahindi kwa asilimia kubwa, kuna jamaa yuko pale nilikuwa nae interbeton iringa, anaongea wazi wale jamaa bure kabisa.

Kama hao jamaa ni bure wangefika hapo walipofika ?
 
Mkuu nikuulize swali?
Unautaalamu wowote na masuala ya construction? Kama huna kaa kimya hawa jamaa hawabahatishi ni kampuni ambayo haijaanza leo wala jana
Strabag is a Austrian construction company based in Villach, with its headquarters in Vienna. It is the largest construction company in Austria and one of the largest construction companies in Europe. The company is active in its home markets Austria and Germany and in all countries of Eastern and South-East Europe, in selected markets in Western Europe, on the Arabian Peninsula, as well as in Canada, Chile, China and India. In these markets STRABAG has subsidiaries or operates on a project-basis.

90% of the capital of German listed company Strabag AG, headquartered in Köln, belongs to the Austrian company.

Revenue yao ni 12 billion Euro wanajua wanachokifanya
mkuu

Kwa ushauri hebu waone hapa STRABAG SE - BUILDING VISIONS. BUILDING VALUES. BUILDING EUROPE.
Kaka tatizo letu wabongo tumezoea porojo za kwenye dalaldala au za kwenye mikutano ya CCM,hatuna hata muda wa kusugua bongo zetu angalau kwa mfano kujua kama vile uwezo wa kampuni ,mleta maada angejitahidi hata ku google kujua uwezo wa kampuni,ndio faida ya intaneti ,tusifanye itaneti ni kwa ajili ya email na kusoma JF tu ,bali iwe ni kwa kuongeza maarifa na kujielimisha.Haihitaji shule kujua STRABAG kuwa ni kampuni kubwa kuanzia vifaa na pia hata barabara walizozijenga zina ubora wa hali ya juu sana.
 
Kaka tatizo letu wabongo tumezoea porojo za kwenye dalaldala au za kwenye mikutano ya CCM,hatuna hata muda wa kusugua bongo zetu angalau kwa mfano kujua kama vile uwezo wa kampuni ,mleta maada angejitahidi hata ku google kujua uwezo wa kampuni,ndio faida ya intaneti ,tusifanye itaneti ni kwa ajili ya email na kusoma JF tu ,bali iwe ni kwa kuongeza maarifa na kujielimisha.Haihitaji shule kujua STRABAG kuwa ni kampuni kubwa kuanzia vifaa na pia hata barabara walizozijenga zina ubora wa hali ya juu sana.

Ni kweli mkuu
 
Mimi siyo mtaalamu wa mambo hayo wala pia sideal na mambo hayo but kwa upeo wangu mdogo tuu wanafanya hiyo kutoka na plan na utaalamu unavyosema na siyo mazoea

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
wabongo kila mtu injinia.

Kama mna wasiwasi na strabag kawaangalie wale wanaojenga kilwa road ndo mtaelewa!
 
wabongo kila mtu injinia.

Kama mna wasiwasi na strabag kawaangalie wale wanaojenga kilwa road ndo mtaelewa!

Kweli mkuu,ila honestly Strabag wanajua.Tatizo tumezoea vitu vya kulipua,barabara ijengwe leo kesho iishe?
 
Barabara haijengwi kama unavyofikiri one at a time.
 
Mkuu nikuulize swali?
Unautaalamu wowote na masuala ya construction? Kama huna kaa kimya hawa jamaa hawabahatishi ni kampuni ambayo haijaanza leo wala jana
Strabag is a Austrian construction company based in Villach, with its headquarters in Vienna. It is the largest construction company in Austria and one of the largest construction companies in Europe. The company is active in its home markets Austria and Germany and in all countries of Eastern and South-East Europe, in selected markets in Western Europe, on the Arabian Peninsula, as well as in Canada, Chile, China and India. In these markets STRABAG has subsidiaries or operates on a project-basis.

90% of the capital of German listed company Strabag AG, headquartered in Köln, belongs to the Austrian company.

Revenue yao ni 12 billion Euro wanajua wanachokifanya
mkuu

Kwa ushauri hebu waone hapa STRABAG SE - BUILDING VISIONS. BUILDING VALUES. BUILDING EUROPE.

Mkuu nakubaliana na wewe kuwa hawa jamaa ni wa ukweli sana ila trust me wakija kwenye nchi zenye serikali legelege kama TZ hawafanyi kazi zao kwa standards zao wanajua hapa wanaweza fanya chochote kile na wasiulizwe kitu
 
Back
Top Bottom