Mkurabitambo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2010
- 230
- 57
Habarini,
Kama mjuavyo asilimia 57 ya wapiga kura ni vijana ambao kwa hesabu za haraka 50% watampigia kura Lowassa na hao 7% hawaeleweki. Ili kupata ushindi Rais anatakiwa awe na kura zaidi ya 50%, kwa kuangalia orodha ya Tume inaonesha wengi ni wapiga kura wa Lowassa, wanatarajia Lowassa ashinde.
Bado nawaza, hasa kuhusu Bodaboda ambao hata ukimgusa mmoja na gari wanakufuata watu 100 na hawanaga msalia mtume, utawaambiaje watu hawa wakuelewe eti yule wanayemwona kuwa ni mkombozi wao kashindwa urais.
Bado nawaza.
Kama mjuavyo asilimia 57 ya wapiga kura ni vijana ambao kwa hesabu za haraka 50% watampigia kura Lowassa na hao 7% hawaeleweki. Ili kupata ushindi Rais anatakiwa awe na kura zaidi ya 50%, kwa kuangalia orodha ya Tume inaonesha wengi ni wapiga kura wa Lowassa, wanatarajia Lowassa ashinde.
Bado nawaza, hasa kuhusu Bodaboda ambao hata ukimgusa mmoja na gari wanakufuata watu 100 na hawanaga msalia mtume, utawaambiaje watu hawa wakuelewe eti yule wanayemwona kuwa ni mkombozi wao kashindwa urais.
Bado nawaza.