Kwani hatuwezi kuitisha kikao na hao EU ikajumuisha utalii viwanda biashara Miundombinu, renewable energy na vurugu zote Kama uwezekanavyo-tu dadafue na Makataba wa EPA urekebishwe " EPA Map Amendment Treat "-
Wasomi wote Mbele Mwenyekiti JPM-
Wapi na wapi Ikae Vipi?
Mafano mashine za...
Nasikitika na kuumpa Pole jamaa alie kutwa ULIMI mkoani SINGIDA Ila Sijui nani atakae tufafanulia ilikuaje? Mbona kipande kilicho ng'atwa na kukatwa Ni ki kubwa sana -mtuuhumiwa aliwe za weza je kupenya umbali huo-
Picha ya ULIMI iliyo tolewa na JF ndio picha halisi?
Kama Mhe Magufuli atachukua form basi Watanzania hawata Kua na haja ya kufanya chaguzi ...Magufuli anaeleweka, ni Mfano unaopendwa Kila kona ya Tanzania ...Nani Anae pinga?
Niwakati wa kua Makini na Mikataba ya uwekezaji ya Kilimo- kulingana na upeo na fikra na ulimbikeni wa viongozi tuliona-tusipokua makini matokeo yatakua ni tofauti na matarajio ya wananchi...
ni bora na ni wakati kwa selikari kutafakari...
Wakulima wadodo wadogo waliopo ndio wapewe...
Sylvanus Mataro...
Jamani kwa tusiojua hamna katiba bila ushiriki wa vyama vya siasa....Tusaidiane kuwaambia wenzetu kua UKAWA SI KAKIKUNDI KADOGO kama wanavoelewa wengi wetu....never! Hapa public policy analysis inahusika zaidi!-Huyo jamaa alini maliza kwenye facebook.. hivi ana maanisha...
Kama ningekua Raisi wa jamuhuri ya muungano ninge washauri waswahili huu ni wakati muafaka kua na Serikari moja.. kwani tatizo lipo wapi? Suala la zanzibar kumezwa ni uongo kwani shinyanga ime mezwa na nani mpaka sasa.?
Mnazungumza umoja...ila roho zenu zina u mbili....fikra zenye Tamaa na ulafi...ubishi...msiwe waoga wa kufikiria...Tengenezeni Katiba yenu!! yenye mambo yenu...yenye ubunifu wenu...utamaduni wenu...ni !!! ni rahisi kama mtawapenda na kuwalinda watoto wenu.ardhi yenu....lugha yenu...
mawazo ya...
wakati najia andaa kutupia hoja jiulize yafuatayo...
Ina kua aje? wanafunzi waliopata alama za chini za ufaulu ndio wachaguliwe kwenda kusoma uwalimu..??.
wanafunzi walio maliza kidato cha nne wengi wao bado ni vijana- watoto..!! kwanini serikari isitoe nafasi ya kurudia kwa hiari wanafunzi...
Matanzania Masanii Gabriel sos limbe Atashinda zawadi kubwa kutegemeana na uzalendo wenu!! ona kwenye Gabriel Limbe collection yenu au
maoni maoni yenu yatamsaidia kufika mbali katika kuitangaza nchi yake
Unacho takiwa ni ku Collect kwenye web page yake!!
Note: This application will be incomplete and rejected unless accompanied by a complete financial statement, work history, lineage, and current medical report from your doctor.
1. Name_________________________________
date of birth___/___/___...
CCM Ni chama cha muda mrefu, ni chama chenye uzoefu,..ni chama maarufu,Ni chama ambacho kina beba historia ya nchi yetu ya baada ya uhuru hadi sasa watoto watakua na kusoma habari za CCM tangu kilivyokua chama safi kabisa hadi kilipo chafuka..watasoma jinsi walivyo ibiwa umasikini,ujinga na...
Hongera Rais jakaya kikwete kwa kukubali ndani ya CCM kuna Mafisadi !!!
Hatimaye umetoa siku tisini watuumiwa wote watoke ndani ya CCM
Japo imekichukuamuda mrefu chama cha mapinduzi kufikia hatua na kutoa maamuzi kama hayo
Kwa kifupi msimamo wa chama zidi ya mafisadi haujaeleweka...
Kwakua sekta ya utalii inaongoza kwa asilimia kubwa kuchangia pato la taifa ukilinganisha na sekta ya mdini...kilichofanywa na TANAPA ni hatua nzuri....tena kubwa ukilinganisha na office nyingine za serikali...
sasa malipo yote ya tanapa kufanywa kwa electroniki!!!....hakuna tena hardcash...
Wananchi wanaburuzwa na wabunge!!!
Je...wabunge hawaoni Posho wanazo lipwa Bungeni ni kubwa ikilinganishwa na pato la mwananchi wa kawaida? Hebu fikiria Milioni 12....12,000,000/= kwa mwezi kwa kila mbunge...zidisha mara zaidi ya mia tatu!!! fanya 300 mara 12,000,000/= mara12 mara 5...bado kuna...
Hii ni kwa Natinal Security Social Fund...
napenda kuchukua nafasi hii kuwapa wazo jingine lenye faida kwenu...
Ina wezekana kabisa asilimia kumi mchango kutoka kwa muajiri ika bakia hivyo hivyo na asilimia kumi kutoka kwa muajiriwa ikawa ni kiwango cha chini cha mchango!!Kutoka kwa...
baada ya jambisha- Jambisha!!.....
bab-kubwa ya CCJ...sisi-me ana angaika kushika korodani zake kila mara...halali usingizi....
mara Mbwaaaa....mbwaaaaaaaaaaaaa....
jamani acheni tabia hii mbaya ya kutishiana tishiana......mbona hivyo.. Ukumwaga Ugali nina mwaga Mboga...
ona CCM wanavyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.