Domenia
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 462
- 22
Hii ni kwa Natinal Security Social Fund...
napenda kuchukua nafasi hii kuwapa wazo jingine lenye faida kwenu...
Ina wezekana kabisa asilimia kumi mchango kutoka kwa muajiri ika bakia hivyo hivyo na asilimia kumi kutoka kwa muajiriwa ikawa ni kiwango cha chini cha mchango!!Kutoka kwa muajiriwa..na akawa na iyari ya kuchangia zaidi kwa faida yake!!
mimi ninafikiri asilimia ina weza ika ongezwa zaidi ya hapo endapo mteja atapenda iwe hivyo!!
wapo watakao penda wakatwe hata zaidi ya asilimia ishirini ya mishahara yao!!
NSSF fikirieni kufanya biashara na serikari!! wateja wa NSSF wapate faida kutokana nafedha zao!!
inakuaje fedha zifanyiwe biashara pasipo faida...
Mawazo: NSSF
napenda kuchukua nafasi hii kuwapa wazo jingine lenye faida kwenu...
Ina wezekana kabisa asilimia kumi mchango kutoka kwa muajiri ika bakia hivyo hivyo na asilimia kumi kutoka kwa muajiriwa ikawa ni kiwango cha chini cha mchango!!Kutoka kwa muajiriwa..na akawa na iyari ya kuchangia zaidi kwa faida yake!!
mimi ninafikiri asilimia ina weza ika ongezwa zaidi ya hapo endapo mteja atapenda iwe hivyo!!
wapo watakao penda wakatwe hata zaidi ya asilimia ishirini ya mishahara yao!!
NSSF fikirieni kufanya biashara na serikari!! wateja wa NSSF wapate faida kutokana nafedha zao!!
inakuaje fedha zifanyiwe biashara pasipo faida...
Mawazo: NSSF