Kuna upepo mkali sana unapiga muda huu,vipi au ndio Mwana wa Adam anakuja nini? mimi nipo Dar maeneo ya Mivumoni
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Wameshapigwa moja tayari na wanakimbizwa kinoma, ila mashabiki wa WAC wanashangilia vizuri sana.
Mashabiki wa timu zetu wana la kujifunza
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hongereni na majukumu wanajukwaa.
Juzi jumapili nilikuwa nasikiliza mahubiri ya kuhani na muonaji Mwalimu MUSA RICHARD MWACHA, mahubiri yalikuwa yanahusu UKIMWI.
Sasa katika mahubiri yale nikamsikia akisema kuwa Mfalme DAUDI nae alipataga HIV (UKIMWI) kutokana na kupenda kwake wanawake hovyo...
Habari wanajukwaa,
Nina mama yangu ameanza kupata tatizo la macho tangu juzi, tulimpeleka hospital wakasema macho yameanza kuweka mtoto na anapresha ya macho.
Hivyo tumeshauriwa tumnunulie miwani, je kuna yoyote humu ambae ameshawahi kukutana na tatizo hili,na je uliweza kulitibu kwa njia...
Kwanza kabsa hongereni kwa kulijenga Taifa.
Mimi nina shida moja ambayo siielewi naomba madokta mnisaidie, kuna hospital moja kubwa tu kila mwanafamilia yangu akienda kupima malaria kwenye hiyo hospital anakutwa hana malaria na wala hana ugonjwa wowote.
Wakati mimi kama mtu mzima naona kabsa...
Salama wakuu?
Natumaini muda si mrefu nchi yetu ya Tanzania ndio itakuwa inaongoza kwa kukusanya mapato duniani, maana mpaka madereva wa malori na Canter za kubeba mizigo wanakamatwa wanaambiwa wawe na mashine za EFD.
Nimekutana na jamaa zangu ambao ni madereva wa hizi gari za mizigo wanasema...
Wakuu Jana niliangalia BBC Swahili, wamesema kwenye makubaliano yetu na kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick kwenye zile asilimia ni kama tumepigwa, hivi hiki chombo cha habari cha mabeberu kinatutafutia nini?
Kuna vitendo vya rushwa vinavyoendelea ndani ya CCM hasa kwenye uteuzi wa wagombea wa serikali za mitaa inasikitisha sana, kuna huu mtaa ninapoishi mimi unaitwa Mtaa wa Muungano kata ya Goba wilaya ya Ubungo. Kuna mwenyekiti ambaye anamaliza muda wake ambaye ni wa CCM na wananchi wanampenda...
Habari wakuu,
Nahitaji drum ya photocopy machine(Kyocera Taskalfa 520i),maana nimeulizia sana kwa mafundi wa photocopy machine naona bei zao ni kubwa sana,kama kuna mtu anamjua dealer wa Kyocera machine kwa hapa Dar naomba anisaidie contact zake,
Nina machine ya photocopy IR 3300 saa hii kitu imevunjika kama kuna mwenye nayo naomba aniuzie,maana sipigi copy kabsa bila ya hii kitu,inaitwa paper deck(sina hakika kama ndio jina lake) ila inakaa upande wa kulia ambako karatasi ndio zinatoka kwenye tray zinapita hapa kwenye hii kitu,mafundi...
Wakuu heshima kwenu,hii mada nimeileta jukwaani kwa wataalam zaidi,kuna mtu alikuwa anasema kama mtoto ni mfupi na yupo chini ya miaka miwili kuna vyakula au dawa ukimpa anarefuka haraka,je hii ni kweli?
wakuu nataka kufungua stationery maeneo ya mabibo hostel,kwa wajuzi zaidi wa biashara ya aina hii je maeneo hayo yanaweza kulipa kweli?,tayari nini photocopy machine CANON IR 3300 yenye uwezo wa kuprint,computer na printer vyote ninavyo,kama nitapata ushauri zaidi nitashukuru sana
Nimesoma gazeti la nipashe la leo kuna makala inahusu dawa za nguvu za kiume.
Kuna mtu kaulizwa kuhusu dawa ya mundende kutoka KONGO anasema akiitumia anachukua masaa matatu kupiga bao moja.
Je wakuu kuna ukweli wowote kuhusu hili?
Juzi nilienda kununua simu pale Tigo, Mlimani City. Sasa cha ajabu, kwenye malipo sikupewa risiti ya EFD machine, nikajaribu kumhoji yule dada anayepokea hela na kutoa risiti akanijibu wao machine hawana.
Sasa naomba kuuliza, hizi machine za EFD ni kwa ajili ya wenye maduka ya mitaani tu au...
Huu umeme jamani unasumbua sana kwa kweli,kama vipi muhongo atangaze tu mgawo tujue moja,na Maji nayo tegeta DAWASCO wametangaza siku tatu kutakuwa hakuna Maji,sijui nihamie South Sudan?
Hili tatizo limeanza kunitokea siku hizi, yani nikimaliza goli la kwanza basi goli la pili nitakaa sana mpaka uume usimame, sasa nikiwa katikati ya goli la pili uume unasinyaa kabsa,na pia goli la kwanza ndani ya dk 3 tu nimemaliza tayari sasa kama kuna mtu alishawahi kupata tatizo hili...
Nimeingia stationery moja nimekuta Dada mmoja anaelekezwa kuandika barua na mwenzake kwenye simu,yani akitajiwa neno ndio anaandika na CV zake zinaonyesha kamaliza chuo!hii ni sahihi kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.